Cenilah laprincesser
Member
- Jan 25, 2021
- 58
- 51
Wakuu samahani naomba ushauri.
Nataka kuanzisha biashara ya nguo na mikoba nanunua Dar napeleka Mwanza.
Natafuta location Mwanza mjini ambayo itaendana na biashara yangu.
Transport cost kutokea Dar mpaka Mwanza.
Sehemuu nzuri ya kuchukulia mzigo Dar, mtaji laki tano.
[emoji3577]
Nataka kuanzisha biashara ya nguo na mikoba nanunua Dar napeleka Mwanza.
Natafuta location Mwanza mjini ambayo itaendana na biashara yangu.
Transport cost kutokea Dar mpaka Mwanza.
Sehemuu nzuri ya kuchukulia mzigo Dar, mtaji laki tano.
[emoji3577]