Saint Leo
Member
- Nov 9, 2018
- 46
- 57
Habari zenu ndugu,
M ni kijana ambaye nmekuwa na mawazo ya kufanya biashara ya nguo kwa mda sasa, nlikuwa naomba ushauri kwa wazoefu wa biashara wanaofanya mikoani, na sehem wanapozitoa, na kwa mtaji mfano wa milion1 unaweza ukakuingizia faida kias gani (kwa cycle, ),
Ningependa kupokea ushauri kwa aina zozote za nguo, kama za kike au za kiume,
Asanteni na aman iwe kwenu
M ni kijana ambaye nmekuwa na mawazo ya kufanya biashara ya nguo kwa mda sasa, nlikuwa naomba ushauri kwa wazoefu wa biashara wanaofanya mikoani, na sehem wanapozitoa, na kwa mtaji mfano wa milion1 unaweza ukakuingizia faida kias gani (kwa cycle, ),
Ningependa kupokea ushauri kwa aina zozote za nguo, kama za kike au za kiume,
Asanteni na aman iwe kwenu