Abdu Amrani
Member
- Jul 24, 2022
- 22
- 16
Hello brothers and sisters. Poleni na harakati wapambanani wenzangu. Niwashukuru kwa msaada tunaopeana kwenye upambanaji.
Naitwa Abdul ni mwanafunzi niko NIT nimekuwa najihusisha na biashara ya nguo tangu nianze chuo kwakushirikiana na mshikaji wangu mmoja ambae yeye yuko UDOM anamaliza mwaka huu.
Lengo la kuja kwenu ni kwamba biashara yetu ya nguo ilikufa mwaka jana,nasema ilikufa kwa sababu tuliiacha kutokana na changamoto tulizopitia (changamoto kuu ni kukosa uaminifu kwa tuliowapa usimamizi hivyo tuliamua kuacha hadi wenyewe tutakapokuwa na nafasi)
Lakini sasa mshikaji wangu anamaliza na tulishauriana turudie biashara yetu ya mwanzo ingawa kwa sasa itabidi tuanze upya kutafta wateja lakini pia hata ile frem ya mwanzo tulisharudisha na hatuipati tena.
Wakati tunawaza kuhusu hilo akatokea moja katika anko wangu ambae ye anajihusisha na biashara za kununua na kuuza vyuma chakavu na siso. Amenishawishi sana kuhusu hii biashara ingawa naogopa kuingia kwakukurupuka, nakhofia kuingia tu kwakuwa nmeshauriwa na mtu ninaemjua? Hivyo naomba kwenu wakuu yeyoye anayeelewa kuhusu hii biashara au biashara ya chupa anipe ufafanuzi zaidi tafadhali?
Ahsante. Najibu comments.
Naitwa Abdul ni mwanafunzi niko NIT nimekuwa najihusisha na biashara ya nguo tangu nianze chuo kwakushirikiana na mshikaji wangu mmoja ambae yeye yuko UDOM anamaliza mwaka huu.
Lengo la kuja kwenu ni kwamba biashara yetu ya nguo ilikufa mwaka jana,nasema ilikufa kwa sababu tuliiacha kutokana na changamoto tulizopitia (changamoto kuu ni kukosa uaminifu kwa tuliowapa usimamizi hivyo tuliamua kuacha hadi wenyewe tutakapokuwa na nafasi)
Lakini sasa mshikaji wangu anamaliza na tulishauriana turudie biashara yetu ya mwanzo ingawa kwa sasa itabidi tuanze upya kutafta wateja lakini pia hata ile frem ya mwanzo tulisharudisha na hatuipati tena.
Wakati tunawaza kuhusu hilo akatokea moja katika anko wangu ambae ye anajihusisha na biashara za kununua na kuuza vyuma chakavu na siso. Amenishawishi sana kuhusu hii biashara ingawa naogopa kuingia kwakukurupuka, nakhofia kuingia tu kwakuwa nmeshauriwa na mtu ninaemjua? Hivyo naomba kwenu wakuu yeyoye anayeelewa kuhusu hii biashara au biashara ya chupa anipe ufafanuzi zaidi tafadhali?
Ahsante. Najibu comments.