WENYELE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,433
- 1,442
Habari wakuu.
Naomba msaada wa mawazo kuhusu kununua bima ya gari. Nilikua nataka kukata comprehensive, ila kuna mdau akaniambia badala ya kwenda kwa ofisi za bima moja kwa moja ni bora kupitia kwa agent.
Mdau akasema ukipata shida ni rahisi kulipwa km ulikata kwa agent maana process atafuatilia yeye zote kuliko kwenda ofisini maana mlolongo unakua mrefu. Agent hulipwa kamisheni ndio maana hupambana ili wapate wateja wengi.
Hii ikoje kwa wazoefu wa haya mambo walioko humu?
Anyway, gari liko mkoani sio Dar
Asanteni sana
Naomba msaada wa mawazo kuhusu kununua bima ya gari. Nilikua nataka kukata comprehensive, ila kuna mdau akaniambia badala ya kwenda kwa ofisi za bima moja kwa moja ni bora kupitia kwa agent.
Mdau akasema ukipata shida ni rahisi kulipwa km ulikata kwa agent maana process atafuatilia yeye zote kuliko kwenda ofisini maana mlolongo unakua mrefu. Agent hulipwa kamisheni ndio maana hupambana ili wapate wateja wengi.
Hii ikoje kwa wazoefu wa haya mambo walioko humu?
Anyway, gari liko mkoani sio Dar
Asanteni sana