Naomba ushauri kuhusu changamoto hii ya mke wangu

Nipe warranty yako ya kutokupata matatizo kabisa na ya kutokufa.

Pia mtaani kwako mabachela ndo wanaongoza utajiri kuliko wenye ndoa?
 
Kiongozi kwani ulizaliwa nje ya ndoa? Au mama ako alimsaliti baba ake?

Binafsi yote matokeo ya maisha hivo siogopi nimejipanga kukabiliana nayo
 
Yaani mke wako akuambukize Magonjwa ya ngono,ufe ndani ya miaka 8 ijayo,......kwa kisingizio cha amani wakati una nafasi ya kumuacha na ukaishi miaka 60 ijayo?......una uhakika wewe sio FALA?
 
Bad enough mwanamke akisha kusaliti Halafu ukamsamehe lazima atagongwa tena na tena cuz anajua kwamba you can't just leave her
 
Daa hii conclusion sasa
 
Unamsamehe vp mtu aliyegongewa nyumbani kwako,hakufai huyo aondoke chap utakuja kunyongwa na michepuko yake ohooooo
 
Acha na mwanamke msaliti kaka, kwanza inawezekana hawakutumia kinga, atakuja kukuua na ukimwi huyo. Akienda kwa Franc chupi inalowa hata kabla hajaguswa.​
Ndio tutaelewana tuu.....hakuna mwanaume tz demu au mkewe hatombwii 🤣🤣🤣🤣🤣
Ukweli Mchungu huu --- kama hautombwi Leo atatombwa siku yoyote Tu. . sasa tunaoa ili iweje kmmk 🚮🚮
 
Mwanamke akicheat hakuna jibu zaidi ni kutengana nae lea watoto basi, ukibisha wewe ni mbwa Tena mbwa koko mgonjwa au kichaa
 
Kataaa ndoa what wasio na akili what!!! 😃😃🙏🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…