Naomba ushauri kuhusu changamoto hii ya mke wangu

Naomba ushauri kuhusu changamoto hii ya mke wangu

Wewe jifurahishe pengine ungejua namna nagusa maisha ya watu ungenisalimia kwakuchuchumaa.....

Ukweli ni kwamba mi nakataa ushoga
🤗🤣🤣🤣🤣My friend hata ndo ungekuwa sijui whoever unachofikiri ni kikubwa than your FRAME.

KAZA BUTI TROMB** ACHA KULIALIA TRO****.MWANAUME NI AIBU KUBWA KUGONGEWA LET IT SINK IN YOUR MEDULLA!!!!

HUNA JUSTIFICATION YOYOTE ILE NA NDOMAANA NIMEKWAMBIA WEWE KWENYE ULIMWENGU WA KUWACHEZEA WANAWAKE, WEWE BADO SANA NA ULIOA KWA SHINIKIZO.

WOMEN NEED NOTHING FROM YOU OTHER THAN YOUR SEXUAL CAPABILITY. UWE UNAPONYA UWE UNATOA MISAADA KWA YATIMA UWE UNACHANGIA FIGO NA MAINI NA UBONGO WAKO. HAKUNA KITU UTAFANYA KITAFUTA HIYO AIBU YA KUCHAPIWA LET IT SINK AGAIN!!!!


NDIO MAANA TUNAENDESHA HIZI MOVEMENT ZA KUUPGRADE MANHOOD!!!WEWE HUJIFUNZI NA UTAENDELEA KUWAOLEA BODABODA AND OTHER DUSHBAGS!!!!

,,,,,,ADIOS AMIGO
 
Watz sisi ninwavivu wakufikiri ndio maana tunajazana makanisani na kwa sangomas
Yaani unajiuliza kwanini watu wanajipa stress, hupati jibu mtu anaenda kuombewa ndoa yake ikae vizuri🤣🤣🤣🤣

Mchungaji anang'amua kuwa tatizo ni nyege mke hakazwi vizuri then pap! mchungaji anajilia kondoo kirahisi.

Hawa maboya tukiwashauri kuwa kama hujajipata usijiongezee stress nguvu za kiume zinatokea kichani hawaelewi😄😄😄

Wakishaoa huku hawana maisha hata huto tunguvu tudogo walichobakiza wnapoteza alafu wake zao wanaanza kuliwa huko kwenye mikesha na kwa bodaboda na madereva wa HIACE😂😂😂


TUNABAKI TUKIWABAGAZA TU ILI WASIRUDIE UJINGA ILA WAPO WANAOKAZA MAFUVU WANAAPA KURUDIA TENA ILI KUTUKOMOA KATAA NDOA😁😁😁😁😁
 
🤗🤣🤣🤣🤣My friend hata ndo ungekuwa sijui whoever unachofikiri ni kikubwa than your FRAME.

KAZA BUTI TROMB** ACHA KULIALIA TRO****.MWANAUME NI AIBU KUBWA KUGONGEWA LET IT SINK IN YOUR MEDULLA!!!!

HUNA JUSTIFICATION YOYOTE ILE NA NDOMAANA NIMEKWAMBIA WEWE KWENYE ULIMWENGU WA KUWACHEZEA WANAWAKE, WEWE BADO SANA NA ULIOA KWA SHINIKIZO.

WOMEN NEED NOTHING FROM YOU OTHER THAN YOUR SEXUAL CAPABILITY. UWE UNAPONYA UWE UNATOA MISAADA KWA YATIMA UWE UNACHANGIA FIGO NA MAINI NA UBONGO WAKO. HAKUNA KITU UTAFANYA KITAFUTA HIYO AIBU YA KUCHAPIWA LET IT SINK AGAIN!!!!


NDIO MAANA TUNAENDESHA HIZI MOVEMENT ZA KUUPGRADE MANHOOD!!!WEWE HUJIFUNZI NA UTAENDELEA KUWAOLEA BODABODA AND OTHER DUSHBAGS!!!!

,,,,,,ADIOS AMIGO
Basi tufunge huu mjadala kwakunifuata inbox tupange namna ya kukuonesha nnavo kaza alafu urudi Tena hapa uandike
 
Yani anagongewa kabisa ndani kwako na kukojolewa akiwa ndani kwako na njemba aliyempaka mate yenye ugoro na bado unafikiria kumsamehe.

Bro iko hivi ukimsamehe anaenda kumwambia dereva hiace kua wewe ni bwege amekuweka mkononi na hauna kitu utafanya hivyo wabadili mbinu za kumtunuku kitumbua huku anamkunja zaidi yako na kuirudishia kwa mkono wake mwenyewe ukeni ikitoka na kumuhonga hela zako unazomuachia za matumizi.

Jipende mkuu . Usiangalie watoto maana ukimsamehe huyo malayer utakufa kwa msongo wa mawazo, wasiwasi, presha na hasira za kugongewa . Ni heri umtimue uteseke kulea watoto wako mwenyewe.
 
Hivi kumbe kuna watu ndoa zao zina zaidi ya miaka 10 halafu kunakuwa na matukio kama haya yanayotishia kusambaratika kwa ndoa na hamsemi[emoji1784] mie nilijua ndoa ikiwa na miaka kuanzia 10 ndiyo forever hivyo maana mnakuwa mmeshawekana kwenye mstari mmoja

Pole sana mwamba, hili nalo litapita
 
Hivi kumbe kuna watu ndoa zao zina zaidi ya miaka 10 halafu kunakuwa na matukio kama haya yanayotishia kusambaratika kwa ndoa na hamsemi[emoji1784] mie nilijua ndoa ikiwa na miaka kuanzia 10 ndiyo forever hivyo maana mnakuwa mmeshawekana kwenye mstari mmoja

Pole sana mwamba, hili nalo litapita
Hata kwa miaka 30 haya mambo yapo!
 
Kwa wanawake wa kisasa hawa ma braza ni afadhali tu ukomae na mkeo maana kama wanavyosema wenyewe "it rains ALMOST everywhere". Maana yake ni kwamba uwezekano wa kuchapiwa ni almost 99.99%!

View attachment 3176736

Kwa huyo mume mwenzio mwendesha Hiace, baada ya miezi mitatu nenda ukapime UKIMWI maana kuna possibility kubwa sana kuwa jamaa hakutumia kondomu; na hao jamaa ni wahuni balaa! Ukikuta hakuna maambukizi shukuru Mungu 🙏🏿

Na kama utakuwa umepoteza trust mazima nenda pia ukawapime hao watoto ili ujue kama ni wako kweli...

View attachment 3176740

Na mwisho kabisa: Je, wewe huna michepuko huko kazini kwako? Kama unayo jichunguze na ujipeleleze mwenyewe na Mungu wako. Naamini Atakupa jibu sahihi kuhusu nini cha kufanya. Ila kumbuka kwamba mkeo wa ndoa katombewa sebuleni na mwendesha Hiace hapo hapo nyumbani kwako. Likumbuke hilo unapofikiria la kufanya.

Pole sana na Mungu Akusaidie 🙏🏿

Angalizo: Mleta mada ni mtu wa kamba sana! 🗑🗑🗑

Mkuu nakuheshim sana 😢 kwa nini umefukua makaburi yake yote 🤣🤣
 
Basi tufunge huu mjadala kwakunifuata inbox tupange namna ya kukuonesha nnavo kaza alafu urudi Tena hapa uandike
😂😂😂😂😂 we jamaa unasoma kweli unachotaka kuposti kabla ya kuposti.

Ukichapiwa tena in near future kwasababu utachapiwa tu😄😄😄 fanya haya👇

TAFUTA DEMU MKAZE KISAWASAWA HATA UKIWEZA KAMA UNAPUMZI KESHA NAE LODGE SIKU MBILI TATU, TOKA OUT NENDA VACATION,NUNUA NGUO MPYA PIGILIA PAMBA PIGA UNYUNYU VIZURI, UKIWEZA JINUNULIE KITU UNACHOPENDA KAMA GARI MPYA AU HATA MALI MPYA KAMA KIWANJA AU SHAMBA. HII ITAKUSAIDIA KUPUNGUZA HASIRA ILA HAIONDOI UKWELI KUWA UMECHAPIWA!!! ILA INAKUPA HARI MPYA NA KUJIONA BADO UNAWEZA.

🚨🚨🚩🚩ILA USIJE TENA HUKU MTANDAONI KUANIKA UDHAIFU WAKO. HUU NDO UANAUME UNAKUFA KISABUNI SAWA🤝

KUNA MAMBO YAKIKUKUTA MWANAUME HAKUNA ATAKAYEKUSAIDIA MAANA KWA LOLOTE ATAKALOFANYA MWANAMKE UJUE JAMII NA YOYOTE YULE MWENYE AKILI TIMAMU LAZIMA LAWAMA UTARUDISHIWA WEWE.HAKUNA WAKUKUBEBA WALA KUKUONEA HURUMA.HIVYO NDO MFUMO ULIVYO. LEARN TO ACCEPT THE BITTER TRUTH!!!

#Kataa ndoa,uishi maisha yako!!!

#Na kama hamsikii tutawakera kwelikweli🤗
 
Ndoa ni agano! Ukiona mwanamke ametoka nje ya ndoa kosa ni la mwanaume! Kabla hajahamia arusha aliwahi kumfania??? Maanake mwanamke amechoka kuvumilia kikubwa ni kumsamehe alafu arudi naye lindi! Hivyi nawezaje kumwacha mke wangu mbali kiasi hicho! Mimi siwezi napenda bila kumbatia mke wangu sipati usingizi! Kosa ni la mwanaume! Amsamehe maisha yaendelee! Yeye mwenyewe yamkini mchepukaji mzuri tu! Wewe utakaa miezi miwili bila kuchepuka wanaume hapana !
Wanaoendesha maroli na mabasi vipi hapo
 
downloadfile.jpg
 
Kwa ajili ya watoto wako msamehe muendeleee na maisha maana mkitengana watoto wapata shida sana ni watu wachache sana wasiochepuka sio wanawake sio wanaume hata kama ungekuwa haupo mbali angechepuka ndio fashion ya siku hizi.
 
Back
Top Bottom