She is Aisha
New Member
- Jun 1, 2024
- 4
- 2
Habari ZENU,
Mimi nilivyomaliza shule ya Msingi nilipelekwa Lushoto, huko sikusoma form one ilikuwa direct form two na kaka angu mtoto wa ba mkubwa ndie alikuwa ananisimamia kusema nina akili nisisome form one.
Baadae akaniambia jina langu limegoma hivyo akaniandikia jina la mdogo wake ambae tunafanana jina la mwanzo, Kaka angu tulikorofishana, Mwaka huu mwanzoni baba angu alifariki sasa nataka kwenda chuo.
Bado sina cheti cha kuzaliwa. Nilihitaji kuaattach cheti cha kifo cha baba ili iwe rahisi kupata mkopo lakini jina la kitaaluma tofauti na la baba naombeni ushauri wenu jamani🙏 Wasijesema nimeghushi.
Pia nimeshauriwa kuhusu deed poll je itawezekana kwenye kupata mkopo?!
Mimi nilivyomaliza shule ya Msingi nilipelekwa Lushoto, huko sikusoma form one ilikuwa direct form two na kaka angu mtoto wa ba mkubwa ndie alikuwa ananisimamia kusema nina akili nisisome form one.
Baadae akaniambia jina langu limegoma hivyo akaniandikia jina la mdogo wake ambae tunafanana jina la mwanzo, Kaka angu tulikorofishana, Mwaka huu mwanzoni baba angu alifariki sasa nataka kwenda chuo.
Bado sina cheti cha kuzaliwa. Nilihitaji kuaattach cheti cha kifo cha baba ili iwe rahisi kupata mkopo lakini jina la kitaaluma tofauti na la baba naombeni ushauri wenu jamani🙏 Wasijesema nimeghushi.
Pia nimeshauriwa kuhusu deed poll je itawezekana kwenye kupata mkopo?!