Naomba Ushauri kuhusu dengue

Naomba Ushauri kuhusu dengue

uhurumoja

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
9,616
Reaction score
22,521
Huu ugonjwa unachukua muda gani kupona mbona ni wiki ya tatu sasa bado najisikia dhaifu ingawa sio kama ilivyokuwa wakati wa ugonjwa?na pia naulizia dawa gani nzuri kwa kuondoa kabisa tatizo la UTI maana nahisi nayo inachangia sana mimi kuwa dhaifu
Naomba msaada wenu maana sasa naelekea kuacha kazi maana naumwa sana nashindwa kumudu majukumu ya kazi biashara ya duka inasimamiwa na mama yangu ili maisha yaende ni mzee sana kila nikiangalia naumia sana ila sina namna kesho naforce kwenda kwenye biashara sina namna ila bado sijawa imara hadi nahofu nisije kulipua mengine asanteni
 
Huu ugonjwa unachukua muda gani kupona mbona ni wiki ya tatu sasa bado najisikia dhaifu ingawa sio kama ilivyokuwa wakati wa ugonjwa?na pia naulizia dawa gani nzuri kwa kuondoa kabisa tatizo la UTI maana nahisi nayo inachangia sana mimi kuwa dhaifu
Naomba msaada wenu maana sasa naelekea kuacha kazi maana naumwa sana nashindwa kumudu majukumu ya kazi biashara ya duka inasimamiwa na mama yangu ili maisha yaende ni mzee sana kila nikiangalia naumia sana ila sina namna kesho naforce kwenda kwenye biashara sina namna ila bado sijawa imara hadi nahofu nisije kulipua mengine asanteni

Mkuu dengu zingatia sana kunywa maji inategemea na immunity yako ila wiki wiki mbili inapotea
Kuhusu uti nashauri ni vema ukafanye sensitivity test itakusaidia kujua ni mdudud gani na anatibika kwa dawa gani?
NB sensitivitiy inafanywa na hospitali nyingi tu hapa mjini ni wewe kwenda kwa daktari na kumueleza hivo
 
Mkuu dengu zingatia sana kunywa maji inategemea na immunity yako ila wiki wiki mbili inapotea
Kuhusu uti nashauri ni vema ukafanye sensitivity test itakusaidia kujua ni mdudud gani na anatibika kwa dawa gani?
NB sensitivitiy inafanywa na hospitali nyingi tu hapa mjini ni wewe kwenda kwa daktari na kumueleza hivo
Nataka kujua dawa specific za kutibu dengue
 
Huu ugonjwa unachukua muda gani kupona mbona ni wiki ya tatu sasa bado najisikia dhaifu ingawa sio kama ilivyokuwa wakati wa ugonjwa?na pia naulizia dawa gani nzuri kwa kuondoa kabisa tatizo la UTI maana nahisi nayo inachangia sana mimi kuwa dhaifu
Naomba msaada wenu maana sasa naelekea kuacha kazi maana naumwa sana nashindwa kumudu majukumu ya kazi biashara ya duka inasimamiwa na mama yangu ili maisha yaende ni mzee sana kila nikiangalia naumia sana ila sina namna kesho naforce kwenda kwenye biashara sina namna ila bado sijawa imara hadi nahofu nisije kulipua mengine asanteni
Ulipatiwa dawa aina Gabi za dengue msaada plz
 
Huu ugonjwa unachukua muda gani kupona mbona ni wiki ya tatu sasa bado najisikia dhaifu ingawa sio kama ilivyokuwa wakati wa ugonjwa?na pia naulizia dawa gani nzuri kwa kuondoa kabisa tatizo la UTI maana nahisi nayo inachangia sana mimi kuwa dhaifu
Naomba msaada wenu maana sasa naelekea kuacha kazi maana naumwa sana nashindwa kumudu majukumu ya kazi biashara ya duka inasimamiwa na mama yangu ili maisha yaende ni mzee sana kila nikiangalia naumia sana ila sina namna kesho naforce kwenda kwenye biashara sina namna ila bado sijawa imara hadi nahofu nisije kulipua mengine asanteni

Nakushauri tafuta jani la mpapai, twanga, chemsha na unywe hiyo juice yake asubuhi na jioni kabla ya muda wa chakula. Angalizo: Ni chungu lakini kama unaweza vumilia. unakunywa kidogo tuu, kama nusu glasi au chini ya hapo ila ina impact kubwa. Mimi imenisaidia na nilipona haraka kuliko hata waliougua kabla yangu. Pia ukila papai tafuna na mbegu zake. Kunywa maji mengi, ukikosa nguvu lamba glucose.
 
Ulipatiwa dawa aina Gabi za dengue msaada plz

Dengue haina dawa ya maana. Ni panadol na maji. ukizidiwa nenda hospitali upigwe drip za glucose na maji. idadi itategemea hali yako. Inaweza kuwa moja, mbili au tatu. utapata nguvu
 
Nilipatiwa panadol ila kwa sababu niliugua mda mrefu kidogo nilipata exprience ya kudeal na ugonjwa kulingana na hali iliyopo namshukuru Mungu naendelea vizuri
Ulipatiwa dawa aina Gabi za dengue msaada plz
 
Back
Top Bottom