Kutoboa dpf kunasababisha check engine code na ecu italiweka gari kwenye limp home mode na kusababisha torque reduction by 70% .ni kama tu vile adblue inavyorusha code ikiisha kwenye reserve tank.Wanaanza kutoboa ndo wanafanya DPF delete. Hiyo ya kuiprogram ECU sasa ndo watu wanaringa nayo. Ila nadhani wanafanya tu expensive bila sababu. Labda zotashuka watu wakiwa nazo
Altezza naona kama old sana. Angalau IS 300 ile nadhani ni RWD.Sedan..
Mbona zipo nyingi tu.. kwa mjapenga, mfano Aristo's, Mazda zipo hasa Rx7/8, Altezza.. etc etc.. the problem is.. kupatq yenye ultra specs kama hizo za Atenza ni ngumu sana.. mfano hiyo fuel consumption aisee nimeipenda. Ktk hizo gari za Mjapan hasa Toyota ni kichefuchefu.
Mfn Aristo uipate yenye 2jzGte au 2JZ kavu (N/A) si chini ya CC 3k-3.5k.. ambayo itakup mileage ya 5/6 per Lt. Wakat ww mwenye Atenza unaenda 13-15/lt.
Hapa kwenye bei hapo.. Kali sana.Gharama za kufanya kwetu ni kubwa kwa sababu mafundi wetu wengi ni vilaza wachache wanaojua ndo hao wanaringa na mibei ya juu
Ni bei gani inauzwaWakuu wazima humu, naomba ushauri wa kitaalam kwenye gari hii diesel model. Kuhusu ubora na changamoto zake
View attachment 2946392
Yeah but inapokea mods vzr sana....Altezza naona kama old sana. Angalau IS 300 ile nadhani ni RWD.
Kwa sasa natumia lexus is200 mkuu ina iyo handbrake ya kuvuta sasa nataka kutest new technology niachane na mikweche ya kizamaniBila shaka ww sio mtu wa Magari sana..
Ikiwa mtu wa magari hasa..
Option ya kwanza ni hiyo handbrake ikae mkao like that, number mbili gari iwe MANUAL.
hizi Option zote kwako ni batili..
So far so good kimfaacho mtu chake!!!
LH kuovertake unachungulia.Yeah but inapokea mods vzr sana....
Nimeona Atenza zipo Manual pia. Ubaya nyingi ni left hand.. (UK versio) gari iwe Manual alaf Left hand aisee
Yeah but inapokea mods vzr sana....
Nimeona Atenza zipo Manual pia. Ubaya nyingi ni left hand.. (UK versio) gari iwe Manual alaf Left hand aisee
UK na Ireland wanatumia right hand vehicles, left hand zipo Belgium Netherland Denmark n. KYeah but inapokea mods vzr sana....
Nimeona Atenza zipo Manual pia. Ubaya nyingi ni left hand.. (UK versio) gari iwe Manual alaf Left hand aisee
Mil 23+Bei ya hiyo gari ni sh ngapi mkuu?
Kumbe parefuMil 23+
Mkuu assante sana natunai umenipa nguvu ya kuchukua hii chuma naona nichukue model ya 2015 assante pia natumai hii kitu itakuwa na comfort nzuri tu
Kaka upo ubungo ipi hii chuma naielewa sana ila nakuwa muoga kwasababu siijuiMkuu assante sana natunai umenipa nguvu ya kuchukua hii chuma naona nichukue model ya 2015 assante pia natumai hii kitu itakuwa na comfort nzuri tu
Wewe siku fanya upige ruti.Kaka upo ubungo ipi hii chuma naielewa sana ila nakuwa muoga kwasababu siijui