Naomba ushauri kuhusu gari aina ya Mazda Atenza 2015

Naomba ushauri kuhusu gari aina ya Mazda Atenza 2015

Wadau samahani tena nauliza kuna utofauti kati ya mazda atenza na mazda 6 mana naona beforward wamezitofautisha
Kama walivyosema wazee, zote ni gari moja tofauti ndogo sana.

Mazda 6 iliuzwa nje ya Japan kwahiyo kwingine kwote Duniani iliitwa Mazda 6 kasoro Japan ikawa Mazda Atenza.

Mfano mwingine ni Mazda 3 kwote Duniani iliuzwa ivyo ila Japan ikawa Axela.

Huu mchezo Japan kawaida yao ata Toyota IST (Scion xA), Altezza (Lexus IS 200), etc.

Turudi kwenye topic; pamoja na yote tofauti zipo kidogo, mfano:

1. Mazda 6 za nyuma ya ,2015 zina knob ya kucontrol infotainment.

2. Mazda 6 zina options ya Petrol mostly.

3. Upholstery nzuri kwenye Mazda 6.

4. Mazda 6 zina Sport Mode.

5. Mazda 6 zina ushuru mkubwa balaa.

Ila mwisho wa yote, NO SINGAPORE.
 
Unainjoi sana! Skyactiv tech ni super quiet, angalia sana watu wa petrol station wasije kukuwekea petroli badala ya diesel!! Wahudumu huwa wanakariri gari ndogo zote ni za petroli.
Yeah nipo makini mzee. Hafu Puma waliniwekea kastika ka Diesel kwa ndani. Napenda kuweka Puma & Total. Kwingine by emergency.
 
Hii gari inataka clean Diesel popote utakapoweza kuipata
Clean diesel bado hatuna hii gari nataka ultra low Sulphur diesel! kitu ambacho hakipo hapa kwetu ! Eventually ukiwa na hii gari baada ya Muda itakulazimu kufanya dpf deletion, maana Sulphur ya diesel yetu italifanya dpf kuziba mapema kuliko ambayo lingetumia ultra low Sulphur diesel.
PUMA Orxy na Total wana mafuta mazuri ila bado Sulphur content ni kubwa.
 
Clean diesel bado hatuna hii gari nataka ultra low Sulphur diesel! kitu ambacho hakipo hapa kwetu ! Eventually ukiwa na hii gari baada ya Muda itakulazimu kufanya dpf deletion, maana Sulphur ya diesel yetu italifanya dpf kuziba mapema kuliko ambayo lingetumia ultra low Sulphur diesel.
PUMA Orxy na Total wana mafuta mazuri ila bado Sulphur content ni kubwa.
Delete niliona expensive, jamaa alisema 800k mwingine 1.2m nikaona bora nisubiri Kenya rally ijayo niende wakanifutie wao walisema kwa 350k Tsh.
 
Delete niliona expensive, jamaa alisema 800k mwingine 1.2m nikaona bora nisubiri Kenya rally ijayo niende wakanifutie wao walisema kwa 350k Tsh.
Kenya wapo advanced sana, diesel deletion ni software issue, then itabidi manually uliondoe Hilo muffler kind of a thing( dpf)
Mazda ni gari pekee ndogo inayouzwa huko japan ikiwa na diesel engine ambayo ni very advanced na kwa bei poa kabisa.
Tra wanataka kuharibu show ya hii gari kwa mikodi yao iso na kichwa wala miguu.
 
Kenya wapo advanced sana, diesel deletion ni software issue, then itabidi manually uliondoe Hilo muffler kind of a thing( dpf)
Mazda ni gari pekee ndogo inayouzwa huko japan ikiwa na diesel engine ambayo ni very advanced na kwa bei poa kabisa.
Tra wanataka kuharibu show ya hii gari kwa mikodi yao iso na kichwa wala miguu.
Lazima watazidi kuongeza tu. Wakiona gari imependwa wanazidisha kodi.
 
Kenya wapo advanced sana, diesel deletion ni software issue, then itabidi manually uliondoe Hilo muffler kind of a thing( dpf)
Mazda ni gari pekee ndogo inayouzwa huko japan ikiwa na diesel engine ambayo ni very advanced na kwa bei poa kabisa.
Tra wanataka kuharibu show ya hii gari kwa mikodi yao iso na kichwa wala miguu.

Wanaanza kutoboa ndo wanafanya DPF delete. Hiyo ya kuiprogram ECU sasa ndo watu wanaringa nayo. Ila nadhani wanafanya tu expensive bila sababu. Labda zotashuka watu wakiwa nazo
 
N
Nimekaa nalo miezi 10 hadi sasa. Sijakutana na shida yoyote.

1. Ulaji wa mafuta ni subjective. Ila kwa mimi nilietoka BMW 323i cc 2500 Petrol ambapo mjini napiga 6km/L sahivi napiga 13km/L kwenye heavy traffic. Pia iStop inasaidia sana kupunguza ulaji wa mafuta. Highway napiga hadi 25km/L nikiwa natumia Adaptive Cruise Control.

2. Spare hadi sasa sio issue ila nishajua machaka yote ya spare. Oil natumia ya Castrol C3 5W30 kitu lainiii. Oil lita 5.1 ukibadirisha na filter haifiki 200K.

3. Speed imebaniwa ni 180km/L ila inatosha kabisa. Kwasababu natumia sana mjini highway ni weekend na road trips.

4. Last year niliupdate kwenye uzi wa road trip nilitoka Dar to Lushoto kisha Moshi Then Arusha then Manyara kisha Dom kisha Moro then Dar. Kwa wese la roughly Tsh 250k pamoja na misele ya mjini. Usieamini jiue.

5. Kabla hujanunua diesel ya Mazda soma kidogo kuhusu DPF

Baadhi ya picha:
Hii chini Moro. Zingatia Ground clearance ipo low sana.
View attachment 2949444
Hii B'Moyo. Buti kubwa ila Baiskeli haitoshi lazima niitoe tyre la mbele.
View attachment 2949445
Hii Ushoroba zingatia ground clearance.
View attachment 2949454

Challenge so far:
1. Diesel inataka kuendeshwa sana. So kila weekend mbili after misele ya mjini lazima nipeleke Bagamoyo kwaajili ya DPF regeneration. Bagamoyo situmii zaidi ya wese la 20 kwenda na kurudi starting point Ubungo.

2. Ipo chini sana ila nishazoea magari ya chini. Sijainganyua na sina mpango.

3. Mazda issue ya rangi wanapaka rangi nyepesi sana so jiandae kuchubuka kifala sana. Waulize ata CX5.

4. Gari refu sana. Size kama Crown Majesta au katikati ya BMW 7 series na 5 series.

All in all, nikifananisha na 3 series, uyu nampa 7/10 wakati BM nampa 5/10 hivi. Wajerumani wakina PureView zeiss mtanisamehe. Sirudi Uko kamwe.

PS: Kama upo Ubungo siku njoo upige misele kidogo ufanye maamuzi.
Ni AWD,RWD au 2WD?
 
Iyo handbrake ndio sababu kubwa kukimbia 2014 mkuu, kama bei hazitopishana sana ntachuku 2016
Bila shaka ww sio mtu wa Magari sana..

Ikiwa mtu wa magari hasa..

Option ya kwanza ni hiyo handbrake ikae mkao like that, number mbili gari iwe MANUAL.

hizi Option zote kwako ni batili..

So far so good kimfaacho mtu chake!!!
 
Bila shaka ww sio mtu wa Magari sana..

Ikiwa mtu wa magari hasa..

Option ya kwanza ni hiyo handbrake ikae mkao like that, number mbili gari iwe MANUAL.

hizi Option zote kwako ni batili..

So far so good kimfaacho mtu chake!!!
Handbrake ikae hivyo ili isaidie Nini?Au video za ku-drift zinakudanganya mzee?
 
Front Wheel Drive.

Nadhani hawajawahi toa RWD na AWD ndio maana US wengi wanaziponda (sijui kwasababu ya Winter kwao).
Dahh nishabadir mawazo.. ila kwa matumiz tu ya kawaida ni nzr.. sana sana.

Naona kwa mafuta/Mileage tunaweza fananisha na Premio.. right?

I prefer RWD with Manual Transmission..
 
Wadau hivi kwanini gari za Singapore is a no go zone?
Sababu nyingi ila kuu "nnayosikia" annual car inspection yao sio makini sana kama ya JP.

Iko hivi; magari yenye umri zaidi ya 10 years kwao yanahitaji inspection kila mwaka, magari yenye miaka 3 hadi 10 yenyewe kila baada ya miaka miwili.

Sasa "nnavosikia" ukaguzi wao haupo serious sana ni kama sisi kila mwaka unavoenda kwa traffic officer unampa elfu 7 anakupa stika ya nenda kwa usalama.

Pia, kurudisha odometer nyuma Singapore sio kosa kisheria. Kwahiyo mtu anaweza rudisha kutoka 100k hadi 40k na fresh tu.


Na vingine wataongezea
 
Dahh nishabadir mawazo.. ila kwa matumiz tu ya kawaida ni nzr.. sana sana.

Naona kwa mafuta/Mileage tunaweza fananisha na Premio.. right?

I prefer RWD with Manual Transmission..
RWD tena manual sedan au yoyote? Maana kama sedan hapo naona kabisa dalili za kwenda Ujerumani.
 
RWD tena manual sedan au yoyote? Maana kama sedan hapo naona kabisa dalili za kwenda Ujerumani.
Sedan..

Mbona zipo nyingi tu.. kwa mjapenga, mfano Aristo's, Mazda zipo hasa Rx7/8, Altezza.. etc etc.. the problem is.. kupatq yenye ultra specs kama hizo za Atenza ni ngumu sana.. mfano hiyo fuel consumption aisee nimeipenda. Ktk hizo gari za Mjapan hasa Toyota ni kichefuchefu.

Mfn Aristo uipate yenye 2jzGte au 2JZ kavu (N/A) si chini ya CC 3k-3.5k.. ambayo itakup mileage ya 5/6 per Lt. Wakat ww mwenye Atenza unaenda 13-15/lt.
 
Back
Top Bottom