Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,042
- 2,005
Yafaa utoe udhoefu wako wa huko mkoani ili aweze kuunganisha dot mwenyewe mkuu.Me nafanya hyo biashara ila ni mkoan ngoja tuwasubiri wadaslama waje kutoa michango yao
Sahihi mkuuu ,angeweza kunitoa matongotongo aiseeeYafaa utoe udhoefu wako wa huko mkoani ili aweze kuunganisha dot mwenyewe mkuu.
Mkuu we mfungulie hiyo 15 inawezekana japo itategemeana na location kuhus bei za mashine inategemeana zipo kuanzia laki 8 had Milion na 20 kuna za umeme na jenereta pia zipo za mkono na mzgo mmoja wa miwa kwa dar inakaa miwa 20 me nanunua kwa elf 11 mzg mmoja ambao muwa mmoja unaweza kutoa gras mbili za moto ambazo moja tunauzaga elf 1 na za bard anaweza kutoa 4 had 3 sasa kama anaweza kumaliza mzgo mmoja kwa siku anaibuka hata na 30k atatoa garama ya tangawiz na ndimu labd na usafir na mabaraf ni kama 5k huo ni mzg mmoja wa miwa 20 kama atauza zaid ya hapo mtaelewana, risk muda mwingn anaweza kupata mzgo wenye miwa miembamba san au mikavu so kiwango kitapungua la kumalizia juic ya miwa kam unatak kulaza basi ilalrle kweny frijiSahihi mkuuu ,angeweza kunitoa matongotongo aiseee
Mkuuu nakushukiru kwa kunifungua machoMkuu we mfungulie hiyo 15 inawezekana japo itategemeana na location kuhus bei za mashine inategemeana zipo kuanzia laki 8 had Milion na 20 kuna za umeme na jenereta pia zipo za mkono na mzgo mmoja wa miwa kwa dar inakaa miwa 20 me nanunua kwa elf 11 mzg mmoja ambao muwa mmoja unaweza kutoa gras mbili za moto ambazo moja tunauzaga elf 1 na za bard anaweza kutoa 4 had 3 sasa kama anaweza kumaliza mzgo mmoja kwa siku anaibuka hata na 30k atatoa garama ya tangawiz na ndimu labd na usafir na mabaraf ni kama 5k huo ni mzg mmoja wa miwa 20 kama atauza zaid ya hapo mtaelewana, risk muda mwingn anaweza kupata mzgo wenye miwa miembamba san au mikavu so kiwango kitapungua la kumalizia juic ya miwa kam unatak kulaza basi ilalrle kweny friji
mchawi wa mafanikio ni usafi tu
Nawasilisha [emoji120][emoji120]
Pamoja ππMkuuu nakushukiru kwa kunifungua macho
Location jamani wapi hizo mashine zinapatikana, je Mwanza zipo?Mkuu we mfungulie hiyo 15 inawezekana japo itategemeana na location kuhus bei za mashine inategemeana zipo kuanzia laki 8 had Milion na 20 kuna za umeme na jenereta pia zipo za mkono na mzgo mmoja wa miwa kwa dar inakaa miwa 20 me nanunua kwa elf 11 mzg mmoja ambao muwa mmoja unaweza kutoa gras mbili za moto ambazo moja tunauzaga elf 1 na za bard anaweza kutoa 4 had 3 sasa kama anaweza kumaliza mzgo mmoja kwa siku anaibuka hata na 30k atatoa garama ya tangawiz na ndimu labd na usafir na mabaraf ni kama 5k huo ni mzg mmoja wa miwa 20 kama atauza zaid ya hapo mtaelewana, risk muda mwingn anaweza kupata mzgo wenye miwa miembamba san au mikavu so kiwango kitapungua la kumalizia juic ya miwa kam unatak kulaza basi ilalrle kweny friji
mchawi wa mafanikio ni usafi tu
Nawasilisha [emoji120][emoji120]
Location jamani wapi hizo mashine zinapatikana, je Mwanza zipo?