Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,042
- 2,005
Habari ndugu zangu, kuna jamaa yangu ameniomba nimfungulie mashine ya miwa jijini Dar, akasema atakuwa ananipa sh 15,000/=kwa siku.
Sasa ndugu zangu mnisaidie kujua gharama ya kila kitu na je sio kwamba atakuwa ananipiga? Make mimi sijawahi kufanya hiyo biashara. Mwenye uzoefu anisaidie jamani nione eitha nifungue au niache hasa kwa kuangalia maslahi.
Tusaidiane jamani make mimi nipo Tanga huko sasa mkinipa mchanganuo nitawashukuru sana. Naomba kujua bei za mashine, materials na vitu vingne.
Sasa ndugu zangu mnisaidie kujua gharama ya kila kitu na je sio kwamba atakuwa ananipiga? Make mimi sijawahi kufanya hiyo biashara. Mwenye uzoefu anisaidie jamani nione eitha nifungue au niache hasa kwa kuangalia maslahi.
Tusaidiane jamani make mimi nipo Tanga huko sasa mkinipa mchanganuo nitawashukuru sana. Naomba kujua bei za mashine, materials na vitu vingne.