Dodo86
Member
- Oct 23, 2018
- 99
- 83
Hivi file linaweza likapotea mahakamani na kama halionekani hatua gani inafata?
Kwa kifupi Mama yangu alikua ana kesi yake ya nyumba takriban imeenda miaka Tisa na mwaka jana mwezi wa tisa alishinda kesi na tukaanza process ya kukaza hukumu mara tena ghafla kila tukienda mahakamani tunaambiwa file halionekani kwahiyo tukawa tunapigwa calender tu na mpaka mawakili wake wakadraft barua mahakamani kulalamika lakini hamna kilichofanyika.
Wiki iliopita tuliambiwa turudi Leo tarehe 12.08.22 still bado file halikuonekana na hakimu amesema ijumaa turudi tena kama halijaonekana kikao kitafanyika kuhusi hili swala.
Nina maswali mawili kwanza: File linaweza kupotea mahakamani?
Pili: Na kama halijaonekana unaweza kutumia copies maana mawakili wa mama copies wanazo.
Naombeni ushauri kwa wanaojua mambo haya.
Ahsanteni.
Kwa kifupi Mama yangu alikua ana kesi yake ya nyumba takriban imeenda miaka Tisa na mwaka jana mwezi wa tisa alishinda kesi na tukaanza process ya kukaza hukumu mara tena ghafla kila tukienda mahakamani tunaambiwa file halionekani kwahiyo tukawa tunapigwa calender tu na mpaka mawakili wake wakadraft barua mahakamani kulalamika lakini hamna kilichofanyika.
Wiki iliopita tuliambiwa turudi Leo tarehe 12.08.22 still bado file halikuonekana na hakimu amesema ijumaa turudi tena kama halijaonekana kikao kitafanyika kuhusi hili swala.
Nina maswali mawili kwanza: File linaweza kupotea mahakamani?
Pili: Na kama halijaonekana unaweza kutumia copies maana mawakili wa mama copies wanazo.
Naombeni ushauri kwa wanaojua mambo haya.
Ahsanteni.