Teamanaconda
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 602
- 564
Habari wanajukwaa,
Nina mama yangu ameanza kupata tatizo la macho tangu juzi, tulimpeleka hospital wakasema macho yameanza kuweka mtoto na anapresha ya macho.
Hivyo tumeshauriwa tumnunulie miwani, je kuna yoyote humu ambae ameshawahi kukutana na tatizo hili,na je uliweza kulitibu kwa njia gani? Mama yangu kwa umri yupo 60.
Nawasilisha
Nina mama yangu ameanza kupata tatizo la macho tangu juzi, tulimpeleka hospital wakasema macho yameanza kuweka mtoto na anapresha ya macho.
Hivyo tumeshauriwa tumnunulie miwani, je kuna yoyote humu ambae ameshawahi kukutana na tatizo hili,na je uliweza kulitibu kwa njia gani? Mama yangu kwa umri yupo 60.
Nawasilisha