Naomba ushauri kuhusu hili tatizo la macho

Naomba ushauri kuhusu hili tatizo la macho

Habari wanajukwaa,

Nina mama yangu ameanza kupata tatizo la macho tangu juzi, tulimpeleka hospital wakasema macho yameanza kuweka mtoto na anapresha ya macho.

Hivyo tumeshauriwa tumnunulie miwani, je kuna yoyote humu ambae ameshawahi kukutana na tatizo hili,na je uliweza kulitibu kwa njia gani? Mama yangu kwa umri yupo 60.

Nawasilisha

Nitafute upate tiba,presha ya macho pamoja na mtoto wa jicho vitaondoka ndan ya siku 14 kama kweli utakuwa sereous
 
Habari wanajukwaa,

Nina mama yangu ameanza kupata tatizo la macho tangu juzi, tulimpeleka hospital wakasema macho yameanza kuweka mtoto na anapresha ya macho.

Hivyo tumeshauriwa tumnunulie miwani, je kuna yoyote humu ambae ameshawahi kukutana na tatizo hili,na je uliweza kulitibu kwa njia gani? Mama yangu kwa umri yupo 60.

Nawasilisha
Waone Dr. Agarwal wako Morocco hapo ni wataalam sana. Mzee wangu na yeye pia ana ishu hio, sasa sema ya kwake imesababishwa na moyo kutumia nguvu kubwa kupump damu na hvo kupelekea overflow ya damu machoni. Sahivi still anaendelea na matibabu.

Matibabu pale ni expensive sana lakini maana kuna hio sindano anachomwa mara 1 kila mwezi bei yake ni 2.6m.

Kama hamjapata ufumbuzi ni bora muelekee hapo kwa ufumbuzi zaidi maana wana utaalam wa hali ya juu na pia vifaa vikubwa sana vya kufanyia diagnosis
 
Habari wanajukwaa,

Nina mama yangu ameanza kupata tatizo la macho tangu juzi, tulimpeleka hospital wakasema macho yameanza kuweka mtoto na anapresha ya macho.

Hivyo tumeshauriwa tumnunulie miwani, je kuna yoyote humu ambae ameshawahi kukutana na tatizo hili,na je uliweza kulitibu kwa njia gani? Mama yangu kwa umri yupo 60.

Nawasilisha
Wamekudanganya miwan haiwez msaidia ukisema pressure ya macho ama glaucoma huwa unapewa dawa za kuishusha ,eye drops pia ukisema mtoto WA jicho maana cataract hapo hua wanafanya operation ndo unapewa miwani ya jua ambayo unaitumia kama miez mitatu hiv sasa hao waliokwambia unahitjk miwan mmmmh tuwaangalie Kwa jicho lapili hata SS wengine. Ni madaktari WA macho
 
Back
Top Bottom