Naomba ushauri kuhusu huyu msichana

Naomba ushauri kuhusu huyu msichana

miaka 22 bado unanuka mavi ya pampas unamwambia mtu habari za kuwa mke na mume! unasoma japo hicho chuo hujakitaja!!!! tulia mbona mnapenda kukimbia kabla ya kutembea?????
 
Najuta kufungua uzi huu, nakutana vitu vya kitoto kabisa, yaani mtu anasmile na kuona aibu bado huajaelewa alama za nyakati, labda tuanzie kujua umri wako
Halafu unasema unasoma chuo, mnaaibisha elimu ya chuo
5e21be2c7c7cc9176ac23a980c3a73ff.jpg
 
Mimi ni kijana wa Kama miaka 22 na ni mwanafunzi wa chuo flan hapa DSM .

Kuna msichana nimekuwa nikidate nae for about three months now.

Mwanzon kabisa hakuwa tayari hata kukutana na mimi but slowly akaanza kutaka tukutane private.

Sasa tatizo ni kwamba kila nikimuambia kuhusu being couples hatoi majib yeyote rather than smiling na kuanza kuona aibu. Imefika point nikaamua kukata mawasiliano nae ila after siku tatu anaanza kunitafuta tena

Yaan in short nishamkaushia kama mara tatu but she keeps coming back

Nifanyeje maana imekua too much
Unamboa na swaga zako za masomo
 
Mimi ni kijana wa Kama miaka 22 na ni mwanafunzi wa chuo flan hapa DSM .

Kuna msichana nimekuwa nikidate nae for about three months now.

Mwanzon kabisa hakuwa tayari hata kukutana na mimi but slowly akaanza kutaka tukutane private.

Sasa tatizo ni kwamba kila nikimuambia kuhusu being couples hatoi majib yeyote rather than smiling na kuanza kuona aibu. Imefika point nikaamua kukata mawasiliano nae ila after siku tatu anaanza kunitafuta tena

Yaan in short nishamkaushia kama mara tatu but she keeps coming back

Nifanyeje maana imekua too much
Subiri waje wanaume wezako wa Dar
 
Mimi ni kijana wa Kama miaka 22 na ni mwanafunzi wa chuo flan hapa DSM .

Kuna msichana nimekuwa nikidate nae for about three months now.

Mwanzon kabisa hakuwa tayari hata kukutana na mimi but slowly akaanza kutaka tukutane private.

Sasa tatizo ni kwamba kila nikimuambia kuhusu being couples hatoi majib yeyote rather than smiling na kuanza kuona aibu. Imefika point nikaamua kukata mawasiliano nae ila after siku tatu anaanza kunitafuta tena

Yaan in short nishamkaushia kama mara tatu but she keeps coming back

Nifanyeje maana imekua too much
Kusoma hujui ata picha uone mzgo tyar wako uo kama anachekuchekea daah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ushaur wako mzur ila sentns ya mwisho mbavu sina
 
We mtoto kweli au hujawah kutongoza ndio mara ya kwanza??? Kashakubali huyo muite tuu geto acha uboya; au nipe namba zake
 
Huku makazini hawapokei GPA ya chini ya 3.5 pts otherwise anza mipango ya kujiajiri mapema
 
Back
Top Bottom