Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawanaga hela nafundi cherehani
Ndo inalipa? Stationery auKajifunze ufundi photocopy
Wewe na Sheria ngoi nani anapesa?Hawanaga hela nafundi cherehani
Kama ni zile nafasi kwa udhamini wa KCB, nashauri uombe course UPISHI na USHONAJI.Habari yenu wakuu!
Mimi ni kijana na miaka 20 nimeona nikajifunze ufundi cherehani(tailors) ili badae nijikim mahitaji yangu.
Sasa lengo la kuja hapa naomba mawazo na ushauri wenu ladies and gentle man
Fundi cherehani mzuri Hakosi 30,000 kwa siku hapa mjini na wale wazuri sana wanapiga hadi laki 2 hadi 3.Habari yenu wakuu!
Mimi ni kijana na miaka 20 nimeona nikajifunze ufundi cherehani(tailors) ili badae nijikim mahitaji yangu.
Sasa lengo la kuja hapa naomba mawazo na ushauri wenu ladies and gentle man
Ufundi wa kutumia cherehani inategemea na uwezo wako wa kudizaini na pia mtaji.Hawanaga hela nafundi cherehani
Ufundi wa kutumia cherehani inategemea na uwezo wako wa kudizaini na pia mtaji.Hawanaga hela nafundi cherehani
kucum ndo nini mkuuKama wa kiume jiandae ku cum wakati unapiga pedal
Kukojoa maniikucum ndo nini mkuu
umepiga kwenye mshono na sijui huwa wanazipelekaga wapi iwe wakike au wakiumeHawanaga hela nafundi cherehani
hivi ni mafundi cherehani au mafundi wa kushona nguoWewe na Sheria ngoi nani anapesa?
Wewe na speshoz nani ana pesa?
Hao wote ni mafundi cherehani
Hallo mkuu, Mimi nina ujuzi wa kushona. Naomba niunganishe na mtu anayehtaji fundi wa kushona mapazia/vijota/jeans hapo kariakoo.Fundi cherehani mzuri Hakosi 30,000 kwa siku hapa mjini na wale wazuri sana wanapiga hadi laki 2 hadi 3.
Ushauri wangu
1. Jifunze Kushona Kawaida uwe Familiar na Cherehani
2. Jifunze kutumia charahani za Umeme, Juki, Brothers za zifananiazo sio kama hizi za kina Butterfly
View attachment 2688303
3. Improve speed Kadri utakavyoweza
Ukiweza kumaster hayo hapo juu Njoo Mjini sehemu kama Kariakoo Kuna Demand kubwa tu ya hao watu. Washona Majeans, Washona Vijora, Mashuka, Mapazia etc.
Kijora 200, Pazia 1000, Shuka 500, ni wewe tu. Mtu mmoja anashona Vijora Mia kadhaa Kwa siku.
Nambie boss, sijasikia kwa sasa ila nitakushtua mtu akihitaji. Kwa saa moja una uwezo wa kushona pazia ngap?
Kiukweli sjawah kushona mapazia, mm kwny ufundi nlikua nashona suruali za kiume ambapo kwa sasa nimesimama. (niko mbali na eneo nlokua nafanyia kazi)Nambie boss, sijasikia kwa sasa ila nitakushtua mtu akihitaji. Kwa saa moja una uwezo wa kushona pazia ngap?