Naomba ushauri kuhusu kilimo cha miti ya matunda

Naomba ushauri kuhusu kilimo cha miti ya matunda

Joined
Feb 2, 2013
Posts
13
Reaction score
11
Wataalamu wa kilimo cha Matunda naomba kujua ni miti ipi ya matunda ambayo hata nikipanda karibu na Fence haitaharibu ukuta kwa maana ya mizizi yake kusambaa sana kwenda kupasua ukuta
 
Wataalamu wa kilimo cha Matunda naomba kujua ni miti ipi ya matunda ambayo hata nikipanda karibu na Fence haitaharibu ukuta kwa maana ya mizizi yake kusambaa sana kwenda kupasua ukuta
Ushashauri
panda mti wowote wa matunda ila hakikisha unachimba shimo kubwa lifike chini ya msing, na kumwagilia uwe unafanya deep irrigation, unaweka PVC pipe unakuwa unamwagilia maji kwenye hiyo pvc, roots itakwenda chini msingi utakuwa salama
 
Back
Top Bottom