Naomba ushauri kuhusu kilimo, nilime matikiti au nyanya?

Daah mkuu imeniuma sana huyu jamaa, nimesoma hii thread mpaka nikaone bora nikupe pole kwa kupambana kuelekeza wajinga. Huyu jamaa sijui yuko dunia ipi, ni si maskini wa pesa tu, bali kinginecho hakijui, na hajui kama hajui. Ndiyo namna wa Tz tunapenda kuishi, kakuzwa na kikalilishwa mambo yasiyo na maana, sijui hata ana umri gani na anaishi wapi. Nimepata hamasa nimuone kabisa anavyoendesha familia yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…