Habari za mchana huu!! Katika harakati za kutafuta maisha nimepata wazo la kufungua kiwanda cha vinywaji yaani Juice,soda katika taste tofauti tofauti... Kuhusu pesa ninazo (ila si za kuhonga madem) sasa nataka munisaidie A to Z ili niweze kukamilisha Jambo hili... Nakaribisha ushauri na changamoto zake. Tanzania ya viwanda ndo hii wajamen
Anza n kiwanda cha maji
Habari za mchana huu!! Katika harakati za kutafuta maisha nimepata wazo la kufungua kiwanda cha vinywaji yaani Juice,soda katika taste tofauti tofauti... Kuhusu pesa ninazo (ila si za kuhonga madem) sasa nataka munisaidie A to Z ili niweze kukamilisha Jambo hili... Nakaribisha ushauri na changamoto zake. Tanzania ya viwanda ndo hii wajamen
Maji hayana complications nyingi kwenye utengenezaji wake ukilinganisha na juice ambazo zinahitaji blending mixtures ya vitu vingi.Aiseee ungemuambia kwa nini aanze na maji.
Na pia ukiacha kiwanda Cha maji kiwanda kingine ambacho ni mbadala wa kiwanda Cha maji ni kiwanda Cha Spirits/Whisky/Brandy na process zake zinafanana sana na maji ila zinatofautiana kwa kiasi kidogo sana.Maji hayana complications nyingi kwenye utengenezaji wake ukilinganisha na juice ambazo zinahitaji blending mixtures ya vitu vingi.
Lakini kwenye maji ukishachimba kisima kinachofuata ni kuwa na mashine za Disinfectant/filters kwa ajili ya kuyasafisha tu.
Then baada ya hapo unayapakia na kuyapeleka sokoni kwa hiyo maji huwa hayana hasara.
Kitu kingine pia maji huwa hayaharibiki unapoyahifadhi kwenye tanks kwa muda mrefu lkn kwa upande wa soda au juice usipoipakia kwa wakati kwenye chupa zake huwa zinaharibika na hvyo kupata hasara za mara kwa mara endapo soko lako halijatengamaa vizuri.
Kwa ushauri zaidi upande wa Engineering/Installation of Beverages machines mnakaribishwa inbox.