Fuqin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 306
- 625
Habari za mchana huu!! Katika harakati za kutafuta maisha nimepata wazo la kufungua kiwanda cha vinywaji yaani Juice,soda katika taste tofauti tofauti... Kuhusu pesa ninazo (ila si za kuhonga madem) sasa nataka munisaidie A to Z ili niweze kukamilisha Jambo hili... Nakaribisha ushauri na changamoto zake. Tanzania ya viwanda ndo hii wajamen