Naomba ushauri kuhusu kozi ya Clinical Officer

Naomba ushauri kuhusu kozi ya Clinical Officer

C.Thady

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2015
Posts
589
Reaction score
154
Jamani nimemaliza Form IV mwaka 2013 nimepata Division 1 ya 15, nilianza A - Level Moshi Technical PCB mwaka jana July, ila ilipofika October niliumwa nikashindwa kuendelea.

Mwaka huu nataka ni apply C.O (clinical officer) KCMC au Machame hospital ila sijui process zao naombeni msaada wenu wapendwa.

Nina B+ ya (Chemistry, Bios. Maths) B flat ya Physics na English + literature Nina A. Nina C mbili ya History na Geography.
 
Jamani nimemaliza f4 mwaka 2013 nimepata div 1 ya 15 nilianza a level mosh technical PCB mwaka jana july ila ilipofika October niliumwa nikashindwa kuendelea mwaka huu nataka ni apply C.O clinical officer KCMC au Machame hospital

ila sijui process zao naomben msaada wenu wapendwa. Nina B+ ya (chemia. Bios. Maths) B flat ya physics na English+literature Nina A. Nina C mbili ya History na Geog
 
Jamani nimemaliza f4 mwaka 2013 nimepata div 1 ya 15 nilianza a level mosh technical PCB mwaka jana july ila ilipofika October niliumwa nikashindwa kuendelea mwaka huu nataka ni apply C.O clinical officer KCMC au Machame hospital ila sijui process zao.

Naomben msaada wenu wapendwa. Nina B+ ya (chemia. Bios. Maths) B flat ya physics na English+literature Nina A. Nina C mbili ya History na Geog
 
Mmnh sidhan maana clinical officer ni kuanzia form four ilimrad tu uwe na qualifications zote
 
Subiri msimu wa ku apply ufike kule NACTE watatangaza kupitia CAS (central admission system)
 
hongera kwa hayo matokeo C.O ni bonge la diri TANZANIA lakin bora urudie tu advance kama unao msuli ili baadae mambo yawe MURUA
 
hongera kwa hayo matokeo C.O ni bonge la diri TANZANIA lakin bora urudie tu advance kama unao msuli ili baadae mambo yawe MURUA

Sawa mkuu asanteh
 
wasiliana na vyo husika ambavyo ni vingi sana kwa sasa hivi na wala si KCMC tu wakueleze utaratibu, eidha wasiliana na co yeyote alie karibu nawe kwa taarifa zaidi.
 
Una miaka mingapi?Ni bora ukasoma miaka 2 ya advance ili upate fursa ya kujiunga na chuo kikuu...naamini una uwezo huo kiakili.
ukisoma CO utatumia miaka 3 halafu utaingia kwenye ajira na baadae utatakiwa kujiendeleza.

rudia advance mkuu!
 
Wewe una sifa zote. Nenda physically Machame na barua yako umwone mkuu wa chuo atakupa maelekezo. La kama u mbali tuma kwa posta. Lazima utapata kwa cheti cha fm 4. Lakini ujue ada ni zaidi ya m 2
 
Wewe una sifa zote. Nenda physically Machame na barua yako umwone mkuu wa chuo atakupa maelekezo. La kama u mbali tuma kwa posta. Lazima utapata kwa cheti cha fm 4. Lakini ujue ada ni zaidi ya m 2

Ada sio tatizo mkuu kama unajua procedures nielekeze Inbox tafadhali
 
www.twitter.com/@nacte kwa matangazo ya jinsi ya kuapply chuo.Ningekushauri usubiri mpaka watoe tangazo nadhani watatoa mwezi wa nne.

Kwani kuomba kwa barua itakukosti baadae kwani NACTE wanataka kila mwanafunzi kwa msimu huu lazima awe na profile kwenye www.cas.ac.tz Kisha utambue ya kwamba kuitamka C/O sio kitu cha mchezo hku kuna msuli wa maana hivyo jipange.
 
Mkuu,nahtaj Unisaidie Garama Kwa Mwaka Coz Nami Ni Miongon Mwa Wanao Htaj Kupga C.O,
Asante Mkuu!
 
Back
Top Bottom