Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
Habari wandugu,
Niende moja kwa moja kwenye mada, Nina uhitaji sana wa usafiri na nimefanikiwa kupata milioni 4 hivyo nataka kununua gari.Kuna magari mengi naona yanapostiwa mitandaoni kama vile ist,vitz,starlet,passo n.k
Yapo ya namba tofauti ila mengi yanaanzia C kurudi nyuma.Je kuna mwenye uzoefu wa haya magari ya kununua mtandaoni/madalali (kiuhalisia mengi ni bei rahisi).Je yanachangamoto gani? Mambo gani muhimu ya kuzingatia?
Binafsi ningependa gari zuri la kudumu nalo muda mrefu japo bajeti inanizuia lakini kwa muda huu ningependa nipate gari zuri ambalo halitonisumbua kwa bajeti niliyonayo.
Nitangulize shukrani kwa maoni yenu.
Niende moja kwa moja kwenye mada, Nina uhitaji sana wa usafiri na nimefanikiwa kupata milioni 4 hivyo nataka kununua gari.Kuna magari mengi naona yanapostiwa mitandaoni kama vile ist,vitz,starlet,passo n.k
Yapo ya namba tofauti ila mengi yanaanzia C kurudi nyuma.Je kuna mwenye uzoefu wa haya magari ya kununua mtandaoni/madalali (kiuhalisia mengi ni bei rahisi).Je yanachangamoto gani? Mambo gani muhimu ya kuzingatia?
Binafsi ningependa gari zuri la kudumu nalo muda mrefu japo bajeti inanizuia lakini kwa muda huu ningependa nipate gari zuri ambalo halitonisumbua kwa bajeti niliyonayo.
Nitangulize shukrani kwa maoni yenu.