Naomba ushauri kuhusu leseni ya biashara

Hilo suala limeshanikuta nilikata tin no mwaka2014 nikakaa miaka kadhaa mpka 2017 nilivoenda nilikuta Nina deni LA karibia lak8 na ushee ila km tz yetu unavoijua nilitoa kiasi kadhaa nikafutiwa deni so nakushauri jisachi mwite pemben muyamalize
 
Wamenikatalia mkuu wanasema nikitaka wanifute kwenye mfumo wao inabidi nilipe kwanza hilo deni ndio nifutwe
Ndio ni lazima ulipe deni twende mbele turud nyuma ulishaingizwa kwenye system na ukapewa kiasi cha kulipia hivyo ulitakiwa siku hiyo hiyo kutoa taarifa ya kutokuendelea na maswala ya leseni lkn kitendo cha kukaa mwaka mzima wao wanaamini unafanya biashara!
 
aNDIKA
mANISPAA GANI?
 
Nasikia kitambulisho hakiwahusu wenye milango nawala wenye tin number
kile ktambulisho kinaangalia mtaji na sio mazingira ya biashra yaan hata uwe na frem pale mliman city lakn kama mtaji wako ni chini ya milion 4 ww chukua ktambulisho cha magu

OVA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…