Naomba ushauri kuhusu Machine za uwakala wa Benki

rich1

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2015
Posts
3,020
Reaction score
3,309
Kwema ndugu,,,,leo naomba kuuliza n banks zipi ambazo zinatoa machine za uwakala kwa kuangalia mambo yafuatayo;

1. Gharama za kupata machine

2. Vigezo vya kupata machine mfano leseni ya biashara.

3. Ipi n bora sana....kwa maana ata ikipotea au kuharibika n rahisi kupewa nyingine.

4. Huduma wanazotoa kwenye machine mfano malipo ya serikali au kulipia vifurushi vya ving'amuzi.
 
Hizo taharifa ni vema ukazipate bank penyewe. Ila CRDB ni rahisi zaidi kupata kuliko NMB.
 
Hapo kwenye kupata MASHINE ndy shughuli nilisumbuka tokea mwaka jana mpka leo sijawah pata MASHINE na nilikidhi vigezo vyote, CRDB,NMB,EQUITY BANK hawana maana zaid walikula ela zangu

Niliambulia kupata mashine ya selecom na hizi bank ndogo.
 
Hapo kwenye kupata MASHINE ndy shughuli nilisumbuka tokea mwaka jana mpka leo sijawah pata MASHINE na nilikidhi vigezo vyote, CRDB,NMB,EQUITY BANK hawana maana zaid walikula ela zangu

Niliambulia kupata mashine ya selecom na hizi bank ndogo.
Bank ndogo na selcom ulipata kwa shs ngap???
 
Hapo kwenye kupata MASHINE ndy shughuli nilisumbuka tokea mwaka jana mpka leo sijawah pata MASHINE na nilikidhi vigezo vyote, CRDB,NMB,EQUITY BANK hawana maana zaid walikula ela zangu

Niliambulia kupata mashine ya selecom na hizi bank ndogo.
Selcom machine ukipata tatizo wanatengeneza au wanakupa mpya???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…