complex31
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 421
- 1,289
Nina rafiki yangu anataka kujenga nyumba ya gorofa moja, katika mchoro wa ramani architecture aliweka kua zitumike nondo za 14mm beam na 16mm columms.
Katika kuanza kujenga fundi chuma alishauri kua floor moja haina uzito sana wakutisha kujengwa na nondo kubwa hivo yeye akasema ili kupunguza bei ya hesabu ya nondo aweke 12mm kwenye 16mm na 10mm kwenye 14mm.
Eneo analojenga liko tambarare (flat) na ni mchanga hivo sio ardhi ya kupasuka. Wiki hii kuna Eng Mchina alikuja nae saiti ambae ndio amesema atakua eng wake mchina akasema hakuna haja ya nondo kabisa za nguzo (beam) sehem za nguzo amimine zege lilikorogwa vizuri halafu nondo ataweka 8mm na 10mm kwenye slab na ngazi tu, tulitembelea baadhi ya site ambazo wamejenga hivo Magomeni floor 3 na Salasala floor 2 bila kua na nguzo zenye nondo ndani yake.
Kwa wataalam naomba ushauri
1. Tufate architecture alichosema
2. Ushauri wa fundi Chuma
3. Au Mchina ambae ni Engineer
Katika kuanza kujenga fundi chuma alishauri kua floor moja haina uzito sana wakutisha kujengwa na nondo kubwa hivo yeye akasema ili kupunguza bei ya hesabu ya nondo aweke 12mm kwenye 16mm na 10mm kwenye 14mm.
Eneo analojenga liko tambarare (flat) na ni mchanga hivo sio ardhi ya kupasuka. Wiki hii kuna Eng Mchina alikuja nae saiti ambae ndio amesema atakua eng wake mchina akasema hakuna haja ya nondo kabisa za nguzo (beam) sehem za nguzo amimine zege lilikorogwa vizuri halafu nondo ataweka 8mm na 10mm kwenye slab na ngazi tu, tulitembelea baadhi ya site ambazo wamejenga hivo Magomeni floor 3 na Salasala floor 2 bila kua na nguzo zenye nondo ndani yake.
Kwa wataalam naomba ushauri
1. Tufate architecture alichosema
2. Ushauri wa fundi Chuma
3. Au Mchina ambae ni Engineer