Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Pasco
Hahaaa acha hizo Pasco. Kwenye ndoa hakuna mali ya mtu, kila kitu ni cha wote. Sasa kama sio yako vipi tena ujikamue cost yote hiyo kuitengeneza gari ambayo unadai sio yako? Any way kupenda kuna mambo.
Back to topic, nimejifunza mambo haya:
1/Used spear mostly is for temporary, although it is cheaper but can ends to more cost.
2/Expensive Car is costful to buy and very costful to run.
Hahaaa acha hizo Pasco. Kwenye ndoa hakuna mali ya mtu, kila kitu ni cha wote. Sasa kama sio yako vipi tena ujikamue cost yote hiyo kuitengeneza gari ambayo unadai sio yako? Any way kupenda kuna mambo.
Back to topic, nimejifunza mambo haya:
1/Used spear mostly is for temporary, although it is cheaper but can ends to more cost.
2/Expensive Car is costful to buy and very costful to run.
Last edited by a moderator: