Sim Card
JF-Expert Member
- Dec 30, 2019
- 881
- 1,601
Jamani naomba tu niwasalimu. Kuna changamoto moja naipata juu ya Neolife ni network market ambapo kuna mshikaji tunaheshimiana sana of course ni uncle ananilazimisha kujiunga nae. Anadiriki kunitukana kwamba utabaki maskini kama huoni fursa halafu pia yaani ananidharau.
Tatizo hata yeye sio kivile katoboa life sana japo pia sio poor kivile kwani ana hela ya kubadilisha mboga na nyumba mbili na vigari kama vitatu hivi.
Sasa changamoto hii networking hai-click kabisa kichwani kwangu, kwa jinsi bidhaa zilivyo na aina ya wateja inakuwa vigumu kwani ni lazima ujitangaze ili wanunue kwa jina lako upate points au uwaunganishe chini yako wanunue na kupanua mtandao ndipo ufaidi. For me naona ni ndoto.
Nimeamua kuwa quiet ili asinisumbue. Mungu ndio anapanga maisha ya mtu. Ushauri plse.
Tatizo hata yeye sio kivile katoboa life sana japo pia sio poor kivile kwani ana hela ya kubadilisha mboga na nyumba mbili na vigari kama vitatu hivi.
Sasa changamoto hii networking hai-click kabisa kichwani kwangu, kwa jinsi bidhaa zilivyo na aina ya wateja inakuwa vigumu kwani ni lazima ujitangaze ili wanunue kwa jina lako upate points au uwaunganishe chini yako wanunue na kupanua mtandao ndipo ufaidi. For me naona ni ndoto.
Nimeamua kuwa quiet ili asinisumbue. Mungu ndio anapanga maisha ya mtu. Ushauri plse.