AfricaUnited
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,367
- 1,293
Habari wana JF.
Mimi nasoma bachelor of accounting and finance in busines sector, Mzumbe university ,mwezi wa 10 hadi wa 2 mwakani tunatakiwa tuende field.
Naomba ushauri wazoefu sehemu gani/kampuni, wizara au entity yeyote ambayo ni bora kwa kuweza pata ujuzi kwa vitendo.maana nasikia sehemu zingine si nzuri ku practise.
Mimi nasoma bachelor of accounting and finance in busines sector, Mzumbe university ,mwezi wa 10 hadi wa 2 mwakani tunatakiwa tuende field.
Naomba ushauri wazoefu sehemu gani/kampuni, wizara au entity yeyote ambayo ni bora kwa kuweza pata ujuzi kwa vitendo.maana nasikia sehemu zingine si nzuri ku practise.