Mshana JrKutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi kumekua na mvua ambazo hazitoshelezi, imepelekea niwaze kuingia kwenye kilimo cha umwagiliaji wa pampu ya solar japo nimeshafanya huko nyuma kwa kutumia petrol.
Sasa naomba kwa mwenye uzoefu na hizi pampu ufanyaji kazi wake uko vizuri? Nisaidieni wenye uzoefu kabla sijawekeza huko?
Maneno mazuri hayaMadam nao, ukiwa na solar yenye uwezo mkubwa Kama watt 150 au 200, pamoja na betri za kutosha 2 kwa ajili ya kuhifadhia nishati ya moto basi utafanya kazi vizuri sana.
Lakini pia ninasikia solar inaeza unganishwa na water pump zile nyaya, so itakuwa ina operate kiasi chake, huku unatunza moto kwenye battery.
Ila Kama ni uwekezaji mkubwa na umejipanga Basi solar is the best kwa sababu utapata nishati ya umeme bure,
Asante sana ubarikiwe.Madam nao, ukiwa na solar yenye uwezo mkubwa Kama watt 150 au 200, pamoja na betri za kutosha 2 kwa ajili ya kuhifadhia nishati ya moto basi utafanya kazi vizuri sana.
Lakini pia ninasikia solar inaeza unganishwa na water pump zile nyaya, so itakuwa ina operate kiasi chake, huku unatunza moto kwenye battery.
Ila Kama ni uwekezaji mkubwa na umejipanga Basi solar is the best kwa sababu utapata nishati ya umeme bure,
U too madam, may GOD bless your hustles. Kikubwa zingatia unataka Lima nini??, Wakati gani??, Soko lipi??Asante sana ubarikiwe.
Solar inafanya vizuri ila uwekezaji wa mwanzoni lazima ujipange.Kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi kumekua na mvua ambazo hazitoshelezi, imepelekea niwaze kuingia kwenye kilimo cha umwagiliaji wa pampu ya solar japo nimeshafanya huko nyuma kwa kutumia petrol.
Sasa naomba kwa mwenye uzoefu na hizi pampu ufanyaji kazi wake uko vizuri? Nisaidieni wenye uzoefu kabla sijawekeza huko?
Mkuu nikitaka kutumia betri itahitajika ya size gani kwa huo mchanganuoSolar inafanya vizuri ila uwekezaji wa mwanzoni lazima ujipange.
Ntakupa mfano kidogo then utalinganisha na shamban kwako .
Kwa mwenye kisima aliyechimba labda Cha MITA 100 kwenda chin anatakiwa awe na pump angalau ya 1hp na kuendelea Ili apate discharge ya kutosha, hapa pia kisima kiwe na maji yakutosha .
2. Hapo pannel za solar inayoweza kuendesha hiyo pump kama ni zile za 200w utakuta karibu panel 6 hadi 10 . Hapo utapiga bajeti yako.
3. Kama utataka kutumia Moja kwa moja umeme wa solar hutaitaji betri ila kama utataka kutumia ac basi batri itakulazimu japo zinabei .
4. Kulingana na chaguo lako hapo juu pia kuwa na mbadala ikitokea Hali ya hewa sio rafiki kwa solar kufanya kazi.
5. Ukiweza kuwa stable kwa hizo vitu basi jua solar utapambana .
Pia kumbuka solar iwe inakusaidia kujaza maji kwenye matank juu Ili Hali ikibadilika unakuwa na pressure tayari inakusubiri ww kuitumia mda wowote. Pia kama utatumia Moja kwa moja kuachilia maji wakati wa jua shamban sio mbaya ni ww tu na mipango yako
Hapo mfano ukiwa na betri ya 200AH inaweza kusave kiasMkuu nikitaka kutumia betri itahitajika ya size gani kwa huo mchanganuo
Asante sana, kisima tayari kirefu kipo, hizo betri hua zinaenda kwa bei gani? Na kampuni ipi mzuri ya solar ni nzuri.Solar inafanya vizuri ila uwekezaji wa mwanzoni lazima ujipange.
Ntakupa mfano kidogo then utalinganisha na shamban kwako .
Kwa mwenye kisima aliyechimba labda Cha MITA 100 kwenda chin anatakiwa awe na pump angalau ya 1hp na kuendelea Ili apate discharge ya kutosha, hapa pia kisima kiwe na maji yakutosha .
2. Hapo pannel za solar inayoweza kuendesha hiyo pump kama ni zile za 200w utakuta karibu panel 6 hadi 10 . Hapo utapiga bajeti yako.
3. Kama utataka kutumia Moja kwa moja umeme wa solar hutaitaji betri ila kama utataka kutumia ac basi batri itakulazimu japo zinabei .
4. Kulingana na chaguo lako hapo juu pia kuwa na mbadala ikitokea Hali ya hewa sio rafiki kwa solar kufanya kazi.
5. Ukiweza kuwa stable kwa hizo vitu basi jua solar utapambana .
Pia kumbuka solar iwe inakusaidia kujaza maji kwenye matank juu Ili Hali ikibadilika unakuwa na pressure tayari inakusubiri ww kuitumia mda wowote. Pia kama utatumia Moja kwa moja kuachilia maji wakati wa jua shamban sio mbaya ni ww tu na mipango yako
Ok simple math kwa battery hii inamaana hapo battery inatumia Volt 12 so ukitaka kujua kiasi Cha umeme kinachotumiwa na pump niHapo mfano ukiwa na betri ya 200AH inaweza kusave kias
Battery mfano ya 100ah Kuna za mpaka 500k.Asante sana, kisima tayari kirefu kipo, hizo betri hua zinaenda kwa bei gani? Na kampuni ipi mzuri ya solar ni nzuri.
Mkuu unaongea usivovijua yaa wat 150 itembeze pamp ya kumwagilia shambaMadam nao, ukiwa na solar yenye uwezo mkubwa Kama watt 150 au 200, pamoja na betri za kutosha 2 kwa ajili ya kuhifadhia nishati ya moto basi utafanya kazi vizuri sana.
Lakini pia ninasikia solar inaeza unganishwa na water pump zile nyaya, so itakuwa ina operate kiasi chake, huku unatunza moto kwenye battery.
Ila Kama ni uwekezaji mkubwa na umejipanga Basi solar is the best kwa sababu utapata nishati ya umeme bure,
Soma sms zangu utaelewa nilichoandika hadi mwishoMkuu unaongea usivovijua yaa wat 150 itembeze pamp ya kumwagilia shamba
Holly StarOk simple math kwa battery hii inamaana hapo battery inatumia Volt 12 so ukitaka kujua kiasi Cha umeme kinachotumiwa na pump ni
1 . Chukua kama pump yako ni 1hp sawa na 750W hapo p=iv
750w/12v ni sawa na 62.5A
2. Tumepata kiasi Cha umeme wa pump ni 62.5A .
3. hivyo kupata kujua kwenye battery yako ya 200ah itachukua mda gani kumaliza chaji.
Chukua 200Ah/62.5A sawa na 3.2hrs .
So tumeona kwa battery ya 200Ah na pump ya 1hp ndani ya masaa matatu utakuta battery low so jua hapo ni kuwa battery ikiwa full Sasa kama battery magumashi jua hapo masaa yatapungua sababu loss inakuwa kubwa
Pia tambua wengi wanaweka battery nyingi kuongeza mda wa kufanya Kaz na yote ni mahesabu hufany kitu sababu umeona jirani kafanya na Hilo ni tatizo. Muhimu kumshauri mtu plan zote ajipange kulingana na mfuko wakeMkuu unaongea usivovijua yaa wat 150 itembeze pamp ya kumwagilia shamba