Naomba Ushauri: Kuna binti nimezaa naye lakini sihitaji kuishi naye kama mke. Simuoni kama mwanamke wa ndoto yangu

Naomba Ushauri: Kuna binti nimezaa naye lakini sihitaji kuishi naye kama mke. Simuoni kama mwanamke wa ndoto yangu

Umeshaoa bila ya kupanga. Sasa huyu unadhani ni nani atakuja kumuoa kamanda Mana umeshashusha thamani yake ,namie humu ndani napiga kelele kuwa wanaume your bikra tupu.
Hapa inabidi uoe. Ungetumia Kinga ama ukomae mpaka upate wa kwako mkuu.
Mwenzako atakuja kuishi pekee na watt hawana baba , atakuja kuja humu baada ya miaka kumi anadai kuwa ana watt watatu ,Yuko late 30s anataka mwanaume responsible amuoe ,akiwa na watt ni sawa ilimradi Naye apate Ile feelings ya kuwa na mme.
Hapa muoe hakuna namna bana.yaani mpaka umemzalisha. Waza angekuwa ni binti yako ama dada ama mdogo wako akafanyiwa ivyo na jemba Halafu linamuacha. Ulikosea kut0mba Bora ungetiiiiia Malaya Maisha yakasogea na ulimwagia ndani ni nani Tena aje kumwagia humo humo ulipomwagia na ukija kuwa unakutana Naye anakuletea watt uwasalimie lazima mtapasha. Kama uko tayari kuoa mke wa namna iyo na wewe basi umuache Kama hauko tayAri basi na huyo usimuache. tayAri akishakuzalia ishi Naye haya Maisha yetu ni mafupi. Furaha ni illusion haipo ni sawa na kesho hutoiona Kesho.

Yaani nimekomaa humu weee kuwa type bikra kumbe wewe mwenyewe ama sie wenyewe ndio tunaowaharibu wanawake. Na nyie msitoe kkk zenu mpaka mwanaume aje kwenu ajitambulishe afuate taratibu akuone, ama tumia p2 utaharibu napo kizazi
Kuna mzee mmoja wakati wa ujana wake alikuwa Diwani.

Alikiwa anaoa na kuacha na kuzalisha nje kama njugu.

Saaa amegonga 65.

Watoto wake wa kike wanne wameolewa na kuachwa na kuzalishwa hovyo.

Kuna Wengine wawili wanuza hadi Tigo na mzee anajua.

Mzee yuko kwenye hali ya Jakamoyo( Depression)

Hii ni Karma.

Kumzalisha mtoto wa watu huku inamdanganya utamuoa harafu hnamwacha kiasili huyu umemharibia Maisha yake yoote
e hato kaa apate raha.
Umemchafua kwenye jamii, akitaka kuolewa anapata wagane tu au wenye wake tayari.

Umemtia nuksi.
 
Tuwe wakweli, hivi kama mtu hapendi kuishi na mwenzake kama mleta mada anavyodai, kuna sheria inayomlazimisha?

Kwa nini tusimshauri mambo ya kisheria yampasayo katika kuhudumia mzazi na mwanaye?

Maana mnavyo mlaumu bila ya kumshauri cha kufanya katika utatuzi wa tatizo, hamumjengi, mnambomoa.
Hakuna sheria inayomlazimisha,hata mimi sijaandika kitu kama sheria
Unaweza pia kumshauri wewe kwa namna unayoona ni sawa 'kisheria' kama unavyodai....hili ni jukwaa,ameweka uzi na atarajie kupata kila aina ya ushauri na maoni

Hata hivyo,sijamlaumu tu....nimempa na ushauri,labda kama hujasoma nilichoandika na kukielewa
 
Kuna mzee mmoja wakati wa ujana wake alikuwa Diwani.

Alikiwa anaoa na kuacha na kuzalisha nje kama njugu.

Saaa amegonga 65.

Watoto wake wa kike wanne wameolewa na kuachwa na kuzalishwa hovyo.

Kuna Wengine wawili wanuza hadi Tigo na mzee anajua.

Mzee yuko kwenye hali ya Jakamoyo( Depression)

Hii ni Karma.

Kumzalisha mtoto wa watu huku inamdanganya utamuoa harafu hnamwacha kiasili huyu umemharibia Maisha yake yoote
e hato kaa apate raha.
Umemchafua kwenye jamii, akitaka kuolewa anapata wagane tu au wenye wake tayari.

Umemtia nuksi.
Kuna mmoja alilazimishwa kuoa binti wa watu wakiwa wanasoma anampa mimba anatoa akazitoa akatoa mpaka kizazi ujue ,so ikabidi aishi Naye tu hakuna namna
 
𝐼𝑘𝑜 ℎ𝑖𝑣𝑖𝑖, 𝐾𝑢𝑛𝑎 𝑚𝑠𝑖𝑐ℎ𝑎𝑛𝑎 𝑛𝑖𝑙𝑖𝑧𝑎𝑎 𝑛𝑎𝑒 𝑛𝑜𝑤 𝑚𝑡𝑜𝑡𝑜 𝑎𝑛𝑎 𝑚𝑖𝑎𝑘𝑎 𝑚𝑖𝑤𝑖𝑙𝑖 𝑛𝑎 𝑚𝑖𝑒𝑧𝑖 𝑘𝑎𝑑ℎ𝑎𝑎, 𝑏𝑎𝑎𝑑𝑎 𝑦𝑎 𝑘𝑢𝑧𝑎𝑎 𝑛𝑎𝑒 𝑡𝑢𝑙𝑖𝑗𝑎𝑟𝑖𝑏𝑢 𝑘𝑢𝑖𝑠ℎ𝑖 𝑝𝑎𝑚𝑜𝑗𝑎 𝑖𝑙𝑒 𝑠𝑜𝑔𝑒𝑎 𝑡𝑢𝑘𝑎𝑒 𝑖𝑙𝑎 𝑡𝑢𝑘𝑎𝑠ℎ𝑖𝑛𝑑𝑤𝑎𝑛𝑎 𝑠𝑎𝑏𝑎𝑏𝑢 𝑘𝑖𝑢𝑘𝑤𝑒𝑙𝑖 𝑚𝑖𝑚𝑖 𝑠𝑖𝑛𝑎 𝑙𝑜𝑣𝑒 𝑛𝑎𝑒 𝑤𝑎𝑙𝑎 𝑠𝑖𝑚𝑢𝑜𝑛𝑖 𝑘𝑎𝑚𝑎 𝑚𝑤𝑎𝑛𝑎𝑚𝑘𝑒 𝑤𝑎 𝑛𝑑𝑜𝑡𝑜 𝑦𝑎𝑛𝑔𝑢

𝑘𝑤𝑎𝑛𝑧𝑎 𝑛𝑖 𝑚𝑗𝑒𝑢𝑟𝑖 , 𝑝𝑖𝑙𝑖 𝑛𝑖 𝑚𝑡𝑢 𝑤𝑎 𝑣𝑖𝑠𝑎𝑠𝑖 𝑐ℎ𝑜𝑐ℎ𝑜𝑡𝑒 𝑢𝑡𝑎𝑐ℎ𝑜𝑚𝑘𝑜𝑠𝑒𝑎 𝑎𝑛𝑎𝑤𝑎𝑧𝑎 𝑘𝑢 𝑟𝑒𝑣𝑒𝑛𝑔𝑒, 𝑛𝑎 𝑎𝑛𝑎𝑝𝑜𝑘𝑜𝑠𝑒𝑎 𝑦𝑒𝑦𝑒 𝑢𝑘𝑖𝑚𝑢𝑒𝑙𝑒𝑘𝑒𝑧𝑎 𝑏𝑎𝑠𝑖 𝑎𝑛𝑎𝑛𝑢𝑛𝑢𝑎 𝑛𝑎 ℎ𝑎𝑘𝑢𝑛𝑎 𝑘𝑖𝑡𝑎𝑐ℎ𝑜𝑒𝑛𝑑𝑒𝑙𝑒𝑎 𝑛𝑑𝑎𝑛𝑖 𝑚𝑢𝑑𝑎 ℎ𝑢𝑜.

𝑆𝑎𝑠𝑎 𝑏𝑎𝑎𝑑𝑎 𝑦𝑎 𝑘𝑢𝑎𝑐ℎ𝑎𝑛𝑎 𝑖𝑘𝑎𝑏𝑎𝑘𝑖 𝑡𝑢𝑛𝑎𝑤𝑎𝑠𝑖𝑙𝑖𝑎𝑛𝑎 𝑘𝑢ℎ𝑢𝑠𝑢 𝑚𝑎𝑡𝑢𝑚𝑖𝑧𝑖 𝑦𝑎 𝑚𝑡𝑜𝑡𝑜 𝑦𝑒𝑦𝑒 𝑎𝑘𝑖𝑤𝑎 𝑎𝑛𝑎𝑖𝑠ℎ𝑖 𝑘𝑤𝑎𝑜 , 𝑆𝑎𝑠𝑎 𝑘𝑢𝑛𝑎 𝑤𝑎𝑘𝑎𝑡𝑖 𝑎𝑙𝑖𝑚𝑙𝑒𝑡𝑎 𝑚𝑡𝑜𝑡𝑜 𝑛𝑖𝑚𝑠𝑎𝑙𝑖𝑚𝑖𝑒 𝑚𝑖𝑚𝑖

𝑀𝑖𝑚𝑖 𝑛𝑖𝑘𝑎𝑠ℎ𝑖𝑟𝑖𝑘𝑖 𝑛𝑎𝑒 𝑡𝑒𝑛𝑑𝑜, 𝑏𝑎𝑎𝑑𝑎 𝑦𝑎 𝑚𝑤𝑒𝑧𝑖 𝑎𝑛𝑎𝑛𝑖𝑎𝑚𝑏𝑖𝑎 𝑎𝑛𝑎 𝑚𝑖𝑚𝑏𝑎 𝑦𝑎𝑛𝑔𝑢 𝑛𝑎 𝑦𝑒𝑦𝑒 𝑛𝑎 𝑘𝑎𝑔𝑜𝑚𝑎 𝑘𝑎𝑏𝑖𝑠𝑎 𝑘𝑢𝑡𝑜𝑎 ℎ𝑎𝑑𝑖 𝑠𝑎𝑠𝑎 𝑖𝑛𝑎 𝑚𝑖𝑒𝑧𝑖 𝑚𝑖𝑛𝑛𝑒 𝑎𝑛𝑎𝑛𝑖𝑎𝑚𝑏𝑖𝑎 𝑘𝑤𝑎𝑜 𝑤𝑎𝑘𝑖𝑗𝑢𝑎 𝑙𝑎𝑧𝑖𝑚𝑎 𝑤𝑎𝑡𝑎𝑚𝑓𝑢𝑘𝑢𝑧𝑎 𝑎ℎ𝑎𝑚𝑖𝑒 𝑘𝑤𝑎𝑛𝑔𝑢 ℎ𝑎𝑝𝑜 𝑛𝑑𝑖𝑜 𝑖𝑠𝑠𝑢𝑒 𝑠𝑎𝑏𝑎𝑏𝑢 𝑚𝑖𝑚𝑖 𝑠𝑖𝑝𝑜 𝑡𝑎𝑦𝑎𝑟𝑖 𝑘𝑢𝑖𝑠ℎ𝑖 𝑛𝑎𝑒 , 𝑖𝑙𝑎 𝑘𝑢𝑙𝑒𝑎 𝑤𝑎𝑡𝑜𝑡𝑜 𝑎𝑘𝑖𝑤𝑎 𝑘𝑤𝑎𝑜 𝑛𝑖𝑝𝑜 𝑡𝑎𝑦𝑎𝑟𝑖


𝐽𝑒 𝑛𝑖𝑓𝑎𝑛𝑦𝑒𝑗𝑒, 𝑛𝑎𝑜𝑚𝑏𝑒𝑛𝑖 𝑢𝑠ℎ𝑎𝑢𝑟𝑖 𝑎𝑚 𝑓𝑢𝑙𝑙𝑦 𝑜𝑓 𝑠𝑡𝑟𝑒𝑠𝑠
𝑝𝑖𝑎 𝑢𝑘𝑖𝑧𝑖𝑛𝑔𝑎𝑡𝑖𝑎 𝑘𝑖𝑝𝑎𝑡𝑜 𝑐ℎ𝑎𝑛𝑔𝑢 𝑠𝑖 𝑘𝑖𝑘𝑢𝑏𝑤𝑎 𝑛𝑖 ℎ𝑢𝑠𝑡𝑙𝑒𝑟 𝑡𝑢
Ila umalaya mbaya,mi kuna mwanamke pia leo kaniambia ana mimba yangu,na kutoa hataki maana kwao watu wa dini,kimbembe mi nna mke wangu na ni mtata balaa,nawaza akipata taarifa patanuka home, na ukichukulia mwanamke wenyewe alishawai kuwa mpangaji wangu miaka mitatu ilyopita,

Dah aisee hizi zakari zinatuletea majanga
 
Ila umalaya mbaya,mi kuna mwanamke pia leo kaniambia ana mimba yangu,na kutoa hataki maana kwao watu wa dini,kimbembe mi nna mke wangu na ni mtata balaa,nawaza akipata taarifa patanuka home, na ukichukulia mwanamke wenyewe alishawai kuwa mpangaji wangu miaka mitatu ilyopita,

Dah aisee hizi zakari zinatuletea majanga
𝐻𝐴ℎ𝑎ℎ𝑎
𝐾𝑢𝑚𝑏𝑒 𝑠𝑖𝑘𝑜 𝑝𝑒𝑘𝑒 𝑎𝑛𝑔𝑢
 
𝐼𝑘𝑜 ℎ𝑖𝑣𝑖𝑖, 𝐾𝑢𝑛𝑎 𝑚𝑠𝑖𝑐ℎ𝑎𝑛𝑎 𝑛𝑖𝑙𝑖𝑧𝑎𝑎 𝑛𝑎𝑒 𝑛𝑜𝑤 𝑚𝑡𝑜𝑡𝑜 𝑎𝑛𝑎 𝑚𝑖𝑎𝑘𝑎 𝑚𝑖𝑤𝑖𝑙𝑖 𝑛𝑎 𝑚𝑖𝑒𝑧𝑖 𝑘𝑎𝑑ℎ𝑎𝑎, 𝑏𝑎𝑎𝑑𝑎 𝑦𝑎 𝑘𝑢𝑧𝑎𝑎 𝑛𝑎𝑒 𝑡𝑢𝑙𝑖𝑗𝑎𝑟𝑖𝑏𝑢 𝑘𝑢𝑖𝑠ℎ𝑖 𝑝𝑎𝑚𝑜𝑗𝑎 𝑖𝑙𝑒 𝑠𝑜𝑔𝑒𝑎 𝑡𝑢𝑘𝑎𝑒 𝑖𝑙𝑎 𝑡𝑢𝑘𝑎𝑠ℎ𝑖𝑛𝑑𝑤𝑎𝑛𝑎 𝑠𝑎𝑏𝑎𝑏𝑢 𝑘𝑖𝑢𝑘𝑤𝑒𝑙𝑖 𝑚𝑖𝑚𝑖 𝑠𝑖𝑛𝑎 𝑙𝑜𝑣𝑒 𝑛𝑎𝑒 𝑤𝑎𝑙𝑎 𝑠𝑖𝑚𝑢𝑜𝑛𝑖 𝑘𝑎𝑚𝑎 𝑚𝑤𝑎𝑛𝑎𝑚𝑘𝑒 𝑤𝑎 𝑛𝑑𝑜𝑡𝑜 𝑦𝑎𝑛𝑔𝑢

𝑘𝑤𝑎𝑛𝑧𝑎 𝑛𝑖 𝑚𝑗𝑒𝑢𝑟𝑖 , 𝑝𝑖𝑙𝑖 𝑛𝑖 𝑚𝑡𝑢 𝑤𝑎 𝑣𝑖𝑠𝑎𝑠𝑖 𝑐ℎ𝑜𝑐ℎ𝑜𝑡𝑒 𝑢𝑡𝑎𝑐ℎ𝑜𝑚𝑘𝑜𝑠𝑒𝑎 𝑎𝑛𝑎𝑤𝑎𝑧𝑎 𝑘𝑢 𝑟𝑒𝑣𝑒𝑛𝑔𝑒, 𝑛𝑎 𝑎𝑛𝑎𝑝𝑜𝑘𝑜𝑠𝑒𝑎 𝑦𝑒𝑦𝑒 𝑢𝑘𝑖𝑚𝑢𝑒𝑙𝑒𝑘𝑒𝑧𝑎 𝑏𝑎𝑠𝑖 𝑎𝑛𝑎𝑛𝑢𝑛𝑢𝑎 𝑛𝑎 ℎ𝑎𝑘𝑢𝑛𝑎 𝑘𝑖𝑡𝑎𝑐ℎ𝑜𝑒𝑛𝑑𝑒𝑙𝑒𝑎 𝑛𝑑𝑎𝑛𝑖 𝑚𝑢𝑑𝑎 ℎ𝑢𝑜.

𝑆𝑎𝑠𝑎 𝑏𝑎𝑎𝑑𝑎 𝑦𝑎 𝑘𝑢𝑎𝑐ℎ𝑎𝑛𝑎 𝑖𝑘𝑎𝑏𝑎𝑘𝑖 𝑡𝑢𝑛𝑎𝑤𝑎𝑠𝑖𝑙𝑖𝑎𝑛𝑎 𝑘𝑢ℎ𝑢𝑠𝑢 𝑚𝑎𝑡𝑢𝑚𝑖𝑧𝑖 𝑦𝑎 𝑚𝑡𝑜𝑡𝑜 𝑦𝑒𝑦𝑒 𝑎𝑘𝑖𝑤𝑎 𝑎𝑛𝑎𝑖𝑠ℎ𝑖 𝑘𝑤𝑎𝑜 , 𝑆𝑎𝑠𝑎 𝑘𝑢𝑛𝑎 𝑤𝑎𝑘𝑎𝑡𝑖 𝑎𝑙𝑖𝑚𝑙𝑒𝑡𝑎 𝑚𝑡𝑜𝑡𝑜 𝑛𝑖𝑚𝑠𝑎𝑙𝑖𝑚𝑖𝑒 𝑚𝑖𝑚𝑖

𝑀𝑖𝑚𝑖 𝑛𝑖𝑘𝑎𝑠ℎ𝑖𝑟𝑖𝑘𝑖 𝑛𝑎𝑒 𝑡𝑒𝑛𝑑𝑜, 𝑏𝑎𝑎𝑑𝑎 𝑦𝑎 𝑚𝑤𝑒𝑧𝑖 𝑎𝑛𝑎𝑛𝑖𝑎𝑚𝑏𝑖𝑎 𝑎𝑛𝑎 𝑚𝑖𝑚𝑏𝑎 𝑦𝑎𝑛𝑔𝑢 𝑛𝑎 𝑦𝑒𝑦𝑒 𝑛𝑎 𝑘𝑎𝑔𝑜𝑚𝑎 𝑘𝑎𝑏𝑖𝑠𝑎 𝑘𝑢𝑡𝑜𝑎 ℎ𝑎𝑑𝑖 𝑠𝑎𝑠𝑎 𝑖𝑛𝑎 𝑚𝑖𝑒𝑧𝑖 𝑚𝑖𝑛𝑛𝑒 𝑎𝑛𝑎𝑛𝑖𝑎𝑚𝑏𝑖𝑎 𝑘𝑤𝑎𝑜 𝑤𝑎𝑘𝑖𝑗𝑢𝑎 𝑙𝑎𝑧𝑖𝑚𝑎 𝑤𝑎𝑡𝑎𝑚𝑓𝑢𝑘𝑢𝑧𝑎 𝑎ℎ𝑎𝑚𝑖𝑒 𝑘𝑤𝑎𝑛𝑔𝑢 ℎ𝑎𝑝𝑜 𝑛𝑑𝑖𝑜 𝑖𝑠𝑠𝑢𝑒 𝑠𝑎𝑏𝑎𝑏𝑢 𝑚𝑖𝑚𝑖 𝑠𝑖𝑝𝑜 𝑡𝑎𝑦𝑎𝑟𝑖 𝑘𝑢𝑖𝑠ℎ𝑖 𝑛𝑎𝑒 , 𝑖𝑙𝑎 𝑘𝑢𝑙𝑒𝑎 𝑤𝑎𝑡𝑜𝑡𝑜 𝑎𝑘𝑖𝑤𝑎 𝑘𝑤𝑎𝑜 𝑛𝑖𝑝𝑜 𝑡𝑎𝑦𝑎𝑟𝑖


𝐽𝑒 𝑛𝑖𝑓𝑎𝑛𝑦𝑒𝑗𝑒, 𝑛𝑎𝑜𝑚𝑏𝑒𝑛𝑖 𝑢𝑠ℎ𝑎𝑢𝑟𝑖 𝑎𝑚 𝑓𝑢𝑙𝑙𝑦 𝑜𝑓 𝑠𝑡𝑟𝑒𝑠𝑠
𝑝𝑖𝑎 𝑢𝑘𝑖𝑧𝑖𝑛𝑔𝑎𝑡𝑖𝑎 𝑘𝑖𝑝𝑎𝑡𝑜 𝑐ℎ𝑎𝑛𝑔𝑢 𝑠𝑖 𝑘𝑖𝑘𝑢𝑏𝑤𝑎 𝑛𝑖 ℎ𝑢𝑠𝑡𝑙𝑒𝑟 𝑡𝑢
vijana mna shida ganii?[emoji34] kila wakati tunawaelekezeni kama hutaki kuzaa na binti ila unapenda ngono tu vaa condom[emoji34], mnapenda upumbavu kufata hisia huku hamtaki majukumu, ndio maana mnakomolewa.

anyway, huyo hana mimba wala nini, kakuambia hivo cas anataka uishi nae na wewe hutaki, hivo mimba ni very easy technique ya kukufanya ukubali, unless kweli umeiona imekua

mwambie mkapime wote,,if yes mchukue uishi nae, ndio wako tena huyo, si uliyataka mwenyewe, PUMBAVU[emoji34]
 
Ila umalaya mbaya,mi kuna mwanamke pia leo kaniambia ana mimba yangu,na kutoa hataki maana kwao watu wa dini,kimbembe mi nna mke wangu na ni mtata balaa,nawaza akipata taarifa patanuka home, na ukichukulia mwanamke wenyewe alishawai kuwa mpangaji wangu miaka mitatu ilyopita,

Dah aisee hizi zakari zinatuletea majanga
𝐻𝐴ℎ𝑎ℎ𝑎
Kuna mzee mmoja wakati wa ujana wake alikuwa Diwani.

Alikiwa anaoa na kuacha na kuzalisha nje kama njugu.

Saaa amegonga 65.

Watoto wake wa kike wanne wameolewa na kuachwa na kuzalishwa hovyo.

Kuna Wengine wawili wanuza hadi Tigo na mzee anajua.

Mzee yuko kwenye hali ya Jakamoyo( Depression)

Hii ni Karma.

Kumzalisha mtoto wa watu huku inamdanganya utamuoa harafu hnamwacha kiasili huyu umemharibia Maisha yake yoote
e hato kaa apate raha.
Umemchafua kwenye jamii, akitaka kuolewa anapata wagane tu au wenye wake tayari.

Umemtia nuksi.
𝑀𝑘𝑢𝑢 ℎ𝑢𝑦𝑢 𝑠𝑖𝑗𝑎𝑚𝑑𝑎𝑛𝑔𝑎𝑛𝑦𝑎 𝑛𝑡𝑎𝑚𝑢𝑜𝑎
𝑁𝑖𝑚𝑒𝑠ℎ𝑎𝑚𝑤𝑎𝑚𝑏𝑖𝑎 𝑧𝑎𝑖𝑑𝑖 𝑦𝑎 𝑚𝑎𝑟𝑎 𝑛𝑦𝑖𝑛𝑔𝑖 𝑚𝑖𝑚𝑖 𝑠𝑖𝑤𝑒𝑧𝑖 𝑘𝑢𝑖𝑠ℎ𝑖 𝑛𝑎𝑒 𝑛𝑎 ℎ𝑎𝑡𝑎 ℎ𝑖𝑖 𝑚𝑖𝑚𝑏𝑎 𝑦𝑎 𝑝𝑖𝑙𝑖 𝑛𝑎𝑜𝑛𝑎 𝑘𝑎𝑏𝑖𝑠𝑎 𝑘𝑎𝑚𝑎 𝑘𝑎𝑖𝑙𝑎𝑧𝑖𝑚𝑖𝑠ℎ𝑎 𝑦𝑒𝑦𝑒
 
𝐼𝑘𝑜 ℎ𝑖𝑣𝑖𝑖, 𝐾𝑢𝑛𝑎 𝑚𝑠𝑖𝑐ℎ𝑎𝑛𝑎 𝑛𝑖𝑙𝑖𝑧𝑎𝑎 𝑛𝑎𝑒 𝑛𝑜𝑤 𝑚𝑡𝑜𝑡𝑜 𝑎𝑛𝑎 𝑚𝑖𝑎𝑘𝑎 𝑚𝑖𝑤𝑖𝑙𝑖 𝑛𝑎 𝑚𝑖𝑒𝑧𝑖 𝑘𝑎𝑑ℎ𝑎𝑎, 𝑏𝑎𝑎𝑑𝑎 𝑦𝑎 𝑘𝑢𝑧𝑎𝑎 𝑛𝑎𝑒 𝑡𝑢𝑙𝑖𝑗𝑎𝑟𝑖𝑏𝑢 𝑘𝑢𝑖𝑠ℎ𝑖 𝑝𝑎𝑚𝑜𝑗𝑎 𝑖𝑙𝑒 𝑠𝑜𝑔𝑒𝑎 𝑡𝑢𝑘𝑎𝑒 𝑖𝑙𝑎 𝑡𝑢𝑘𝑎𝑠ℎ𝑖𝑛𝑑𝑤𝑎𝑛𝑎 𝑠𝑎𝑏𝑎𝑏𝑢 𝑘𝑖𝑢𝑘𝑤𝑒𝑙𝑖 𝑚𝑖𝑚𝑖 𝑠𝑖𝑛𝑎 𝑙𝑜𝑣𝑒 𝑛𝑎𝑒 𝑤𝑎𝑙𝑎 𝑠𝑖𝑚𝑢𝑜𝑛𝑖 𝑘𝑎𝑚𝑎 𝑚𝑤𝑎𝑛𝑎𝑚𝑘𝑒 𝑤𝑎 𝑛𝑑𝑜𝑡𝑜 𝑦𝑎𝑛𝑔𝑢

𝑘𝑤𝑎𝑛𝑧𝑎 𝑛𝑖 𝑚𝑗𝑒𝑢𝑟𝑖 , 𝑝𝑖𝑙𝑖 𝑛𝑖 𝑚𝑡𝑢 𝑤𝑎 𝑣𝑖𝑠𝑎𝑠𝑖 𝑐ℎ𝑜𝑐ℎ𝑜𝑡𝑒 𝑢𝑡𝑎𝑐ℎ𝑜𝑚𝑘𝑜𝑠𝑒𝑎 𝑎𝑛𝑎𝑤𝑎𝑧𝑎 𝑘𝑢 𝑟𝑒𝑣𝑒𝑛𝑔𝑒, 𝑛𝑎 𝑎𝑛𝑎𝑝𝑜𝑘𝑜𝑠𝑒𝑎 𝑦𝑒𝑦𝑒 𝑢𝑘𝑖𝑚𝑢𝑒𝑙𝑒𝑘𝑒𝑧𝑎 𝑏𝑎𝑠𝑖 𝑎𝑛𝑎𝑛𝑢𝑛𝑢𝑎 𝑛𝑎 ℎ𝑎𝑘𝑢𝑛𝑎 𝑘𝑖𝑡𝑎𝑐ℎ𝑜𝑒𝑛𝑑𝑒𝑙𝑒𝑎 𝑛𝑑𝑎𝑛𝑖 𝑚𝑢𝑑𝑎 ℎ𝑢𝑜.

𝑆𝑎𝑠𝑎 𝑏𝑎𝑎𝑑𝑎 𝑦𝑎 𝑘𝑢𝑎𝑐ℎ𝑎𝑛𝑎 𝑖𝑘𝑎𝑏𝑎𝑘𝑖 𝑡𝑢𝑛𝑎𝑤𝑎𝑠𝑖𝑙𝑖𝑎𝑛𝑎 𝑘𝑢ℎ𝑢𝑠𝑢 𝑚𝑎𝑡𝑢𝑚𝑖𝑧𝑖 𝑦𝑎 𝑚𝑡𝑜𝑡𝑜 𝑦𝑒𝑦𝑒 𝑎𝑘𝑖𝑤𝑎 𝑎𝑛𝑎𝑖𝑠ℎ𝑖 𝑘𝑤𝑎𝑜 , 𝑆𝑎𝑠𝑎 𝑘𝑢𝑛𝑎 𝑤𝑎𝑘𝑎𝑡𝑖 𝑎𝑙𝑖𝑚𝑙𝑒𝑡𝑎 𝑚𝑡𝑜𝑡𝑜 𝑛𝑖𝑚𝑠𝑎𝑙𝑖𝑚𝑖𝑒 𝑚𝑖𝑚𝑖

𝑀𝑖𝑚𝑖 𝑛𝑖𝑘𝑎𝑠ℎ𝑖𝑟𝑖𝑘𝑖 𝑛𝑎𝑒 𝑡𝑒𝑛𝑑𝑜, 𝑏𝑎𝑎𝑑𝑎 𝑦𝑎 𝑚𝑤𝑒𝑧𝑖 𝑎𝑛𝑎𝑛𝑖𝑎𝑚𝑏𝑖𝑎 𝑎𝑛𝑎 𝑚𝑖𝑚𝑏𝑎 𝑦𝑎𝑛𝑔𝑢 𝑛𝑎 𝑦𝑒𝑦𝑒 𝑛𝑎 𝑘𝑎𝑔𝑜𝑚𝑎 𝑘𝑎𝑏𝑖𝑠𝑎 𝑘𝑢𝑡𝑜𝑎 ℎ𝑎𝑑𝑖 𝑠𝑎𝑠𝑎 𝑖𝑛𝑎 𝑚𝑖𝑒𝑧𝑖 𝑚𝑖𝑛𝑛𝑒 𝑎𝑛𝑎𝑛𝑖𝑎𝑚𝑏𝑖𝑎 𝑘𝑤𝑎𝑜 𝑤𝑎𝑘𝑖𝑗𝑢𝑎 𝑙𝑎𝑧𝑖𝑚𝑎 𝑤𝑎𝑡𝑎𝑚𝑓𝑢𝑘𝑢𝑧𝑎 𝑎ℎ𝑎𝑚𝑖𝑒 𝑘𝑤𝑎𝑛𝑔𝑢 ℎ𝑎𝑝𝑜 𝑛𝑑𝑖𝑜 𝑖𝑠𝑠𝑢𝑒 𝑠𝑎𝑏𝑎𝑏𝑢 𝑚𝑖𝑚𝑖 𝑠𝑖𝑝𝑜 𝑡𝑎𝑦𝑎𝑟𝑖 𝑘𝑢𝑖𝑠ℎ𝑖 𝑛𝑎𝑒 , 𝑖𝑙𝑎 𝑘𝑢𝑙𝑒𝑎 𝑤𝑎𝑡𝑜𝑡𝑜 𝑎𝑘𝑖𝑤𝑎 𝑘𝑤𝑎𝑜 𝑛𝑖𝑝𝑜 𝑡𝑎𝑦𝑎𝑟𝑖


𝐽𝑒 𝑛𝑖𝑓𝑎𝑛𝑦𝑒𝑗𝑒, 𝑛𝑎𝑜𝑚𝑏𝑒𝑛𝑖 𝑢𝑠ℎ𝑎𝑢𝑟𝑖 𝑎𝑚 𝑓𝑢𝑙𝑙𝑦 𝑜𝑓 𝑠𝑡𝑟𝑒𝑠𝑠
𝑝𝑖𝑎 𝑢𝑘𝑖𝑧𝑖𝑛𝑔𝑎𝑡𝑖𝑎 𝑘𝑖𝑝𝑎𝑡𝑜 𝑐ℎ𝑎𝑛𝑔𝑢 𝑠𝑖 𝑘𝑖𝑘𝑢𝑏𝑤𝑎 𝑛𝑖 ℎ𝑢𝑠𝑡𝑙𝑒𝑟 𝑡𝑢
Akili huna kwnz unataka kufanya abortion jamani watu wa ustawi wa Jamii hampo humu kazi yenu ni nini? Mali yenu hiyo imekuja kichwakichwa wekeni ndani ikanyee ndoo
 
Ushauri wangu; kama amegoma kutoa mimba basi ana jambo lake huyo, hapo cha kufanya hama hapo unapoishi halafu mkaushie kinamna. Utamtafuta utakapojisikia tena wakati wa kutoa matumizi ya mtoto baaas!
 
Kuna muda sie wanaume tunakosea sana....... Ndio maana kwakweli mie sijielewi kama nipo juu ama chini,coz sitaki kuharibu maisha ya mtu,napambana na Jehu langu Sumbawangu huko ambalo tunaongea nalo lugha moja,japo sio Lizuri,ila You can't tell me nothing juu yake
Kabisa Mkuu.....wanaume tumekuwa mashetani.

Yaani tunajari hisia zetu tu za nyenge na kuacha madhara makubwa tunayowasababishia Hawa wanawake.
 
Ila umalaya mbaya,mi kuna mwanamke pia leo kaniambia ana mimba yangu,na kutoa hataki maana kwao watu wa dini,kimbembe mi nna mke wangu na ni mtata balaa,nawaza akipata taarifa patanuka home, na ukichukulia mwanamke wenyewe alishawai kuwa mpangaji wangu miaka mitatu ilyopita,

Dah aisee hizi zakari zinatuletea majanga
Mkeo mtata, yaani anakutawala!

Majumba haya yanaficha siri nyingi sana!

Kutoa mimba ni dhambi isiyostahili kujadiliwa.

Wewe kama umemtia, mwache azae umhudumie na mwanaye.

Kwani analazimisha umuoe?

Akizaa na ukishajiridhisha kuwa huyo kiumbe ni mwanao, hapo mkeo lazima umjulishe bila kujali ata react namna gani, kumficha issue kama hiyo ndiyo msala, siku moja utachezea kisago.
 
𝐻𝐴ℎ𝑎ℎ𝑎

𝑀𝑘𝑢𝑢 ℎ𝑢𝑦𝑢 𝑠𝑖𝑗𝑎𝑚𝑑𝑎𝑛𝑔𝑎𝑛𝑦𝑎 𝑛𝑡𝑎𝑚𝑢𝑜𝑎
𝑁𝑖𝑚𝑒𝑠ℎ𝑎𝑚𝑤𝑎𝑚𝑏𝑖𝑎 𝑧𝑎𝑖𝑑𝑖 𝑦𝑎 𝑚𝑎𝑟𝑎 𝑛𝑦𝑖𝑛𝑔𝑖 𝑚𝑖𝑚𝑖 𝑠𝑖𝑤𝑒𝑧𝑖 𝑘𝑢𝑖𝑠ℎ𝑖 𝑛𝑎𝑒 𝑛𝑎 ℎ𝑎𝑡𝑎 ℎ𝑖𝑖 𝑚𝑖𝑚𝑏𝑎 𝑦𝑎 𝑝𝑖𝑙𝑖 𝑛𝑎𝑜𝑛𝑎 𝑘𝑎𝑏𝑖𝑠𝑎 𝑘𝑎𝑚𝑎 𝑘𝑎𝑖𝑙𝑎𝑧𝑖𝑚𝑖𝑠ℎ𝑎 𝑦𝑒𝑦𝑒
Alikubaka hadi useme kalazimisha yeye? Kwa upande wake anakupenda. Licha ya hayo mapungufu ambayo unayaona kwake.
 
Umelikoroga ndugu yangu.

Huyo anakwwmbia ana dini sana huku umembandua akijua una mke ana dini gani hapo?
Ila umalaya mbaya,mi kuna mwanamke pia leo kaniambia ana mimba yangu,na kutoa hataki maana kwao watu wa dini,kimbembe mi nna mke wangu na ni mtata balaa,nawaza akipata taarifa patanuka home, na ukichukulia mwanamke wenyewe alishawai kuwa mpangaji wangu miaka mitatu ilyopita,

Dah aisee hizi zakari zinatuletea majanga
 
vijana mna shida ganii?
emoji34.png
kila wakati tunawaelekezeni kama hutaki kuzaa na binti ila unapenda ngono tu vaa condom
emoji34.png
, mnapenda upumbavu kufata hisia huku hamtaki majukumu, ndio maana mnakomolewa.

anyway, huyo hana mimba wala nini, kakuambia hivo cas anataka uishi nae na wewe hutaki, hivo mimba ni very easy technique ya kukufanya ukubali, unless kweli umeiona imekua

mwambie mkapime wote,,if yes mchukue uishi nae, ndio wako tena huyo, si uliyataka mwenyewe, PUMBAVU
emoji34.png
𝐴𝑠𝑠𝑛
Ushauri wangu; kama amegoma kutoa mimba basi ana jambo lake huyo, hapo cha kufanya hama hapo unapoishi halafu mkaushie kinamna. Utamtafuta utakapojisikia tena wakati wa kutoa matumizi ya mtoto baaas
 
Back
Top Bottom