Mkuu we sail on the same ship,tofauti ni kuwa mi tayari nshamzoea tu,jeuri na kiburi kila mwanamke anavyo akishakuzoea na hasa akipunguza au kuona anaweza kurun maisha yake bila wewe,hiyo isikuumize kichwa.
Mimba ya kwanza nilikataa ila mtoto alipozaliwa ni cha kiume asee kitoto kizuri balaa,mengine yaliyoendelea mungu ndo anajua...kuna muda tuligombana san akiwa kwao ile tumepatana akaforce aje kwangu,alikuja mwezi mmoja badae nkaanz kuona mabadlko kumbe ana mimba bhana,nlimuuliza ni ya nani akasema yangu skukaza sana ila nkamuomba atoe alikataa katakata,nilijaribu kumweleza hali yangu na jinsi jamii itakavyomchukulia ila hakujali,akili yake anawaza katoto ka kike tu..hapo wa kwanza ana miaka miwili na miezi kadhaa asee nilichoka sabu nilkua mwaka wa mwisho chuo na sina chchote..kama kawaid mimi nina utaratibu mmoja,kama demu nmemwaga ndani huwaga skatai waga nasubiri mtoto azaliwe,to cut story alijifungua mtoto wa kike now ana 7_8 month yupo kwao..now nina 27 tyr nina 2 kids,to be honesty mwanamke ni mpambanaji balaa na ni wife material aswa..
Nini nataka kukuambia
Hakuna haja ya kukataa wala kukimbia mimba kubali na hudumia kwa kiasi,mpe tumaini kuwa utamfata hapo nyumbani,then yote anafanya sabu ys pressure ya wazazi na malezi ila watoto wakishakuwa wala awatakua na habari naww,so focus na unachofanya na jijenge.