Naomba ushauri kwa aliyewai kununua tinga tinga fx robot

Naomba ushauri kwa aliyewai kununua tinga tinga fx robot

Mimi ni mwalimu, Kuna kipindi niliingia mkopo bank kwa sababu ya changamoto zilizonikabili ikapelekea kubaki na sh 205,000 tu kwenye take home na huku Nina familia
Kitu pekee kilichonisaidia mpaka Sasa ni forex trading (Mimi natrade indices) tu Ili zinihakikishie ugali hata weekend

Hilo robot la tingatinga nalijua na anauza Dola 1000$ ila halitasaidia kitu Wala usiwe impressed na results wanazopost Instagram page yao

Kitu kikubwa kinachohitajika kwenye forex ni hivi vifuatavyo
1. Mtaji at least 600$ japo ukiwa na 1000$ ni vizuri zaidi
2. Risk management ( hapa ndo chanzo Cha watu wengi kuiona forex ni ngumu au scarm ukiweza kwenye risk management umeweza forex mfano kwenye hio dollar 1000$ tumia lot ya 0.10 kwenye currency na 0.1 kwenye index kama nasdaq, us30,index 500, n.k vile vile kwenye commodity kama gold na silver tumia lot 0.1 position moja au mbili

Na target ya profit yako kwa huo mtaji urange Dola 0$-20$ per day)

3. Subira ( ukiwa na subira katika soko la forex ni hatua mojawapo ya kuvuka kiunzi Cha kupata loss , subira kwenye entry, subira kwenye loss, subira kwenye profit depends na ww soko unalionaje)

4. Chukua profit na fuata plan yako usijaribu katu kubadili mawazo pindi target yako inapofikiwa

5. Epuka overtrading na revenge kubali loss ndogo uliyopata hio siku na usitake kuirudisha kwa lazima soko haliendi popote lipo pale kwa ajili yako Leo ,kesho na hata mile


NB ukizingatia haya utaona forex rahisi
Screenshot_20231008-105835.jpg


Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni mwalimu, Kuna kipindi niliingia mkopo bank kwa sababu ya changamoto zilizonikabili ikapelekea kubaki na sh 205,000 tu kwenye take home na huku Nina familia
Kitu pekee kilichonisaidia mpaka Sasa ni forex trading (Mimi natrade indices) tu Ili zinihakikishie ugali hata weekend

Hilo robot la tingatinga nalijua na anauza Dola 1000$ ila halitasaidia kitu Wala usiwe impressed na results wanazopost Instagram page yao

Kitu kikubwa kinachohitajika kwenye forex ni hivi vifuatavyo
1. Mtaji at least 600$ japo ukiwa na 1000$ ni vizuri zaidi
2. Risk management ( hapa ndo chanzo Cha watu wengi kuiona forex ni ngumu au scarm ukiweza kwenye risk management umeweza forex mfano kwenye hio dollar 1000$ tumia lot ya 0.10 kwenye currency na 0.1 kwenye index kama nasdaq, us30,index 500, n.k vile vile kwenye commodity kama gold na silver tumia lot 0.1 position moja au mbili

Na target ya profit yako kwa huo mtaji urange Dola 0$-20$ per day)

3. Subira ( ukiwa na subira katika soko la forex ni hatua mojawapo ya kuvuka kiunzi Cha kupata loss , subira kwenye entry, subira kwenye loss, subira kwenye profit depends na ww soko unalionaje)

4. Chukua profit na fuata plan yako usijaribu katu kubadili mawazo pindi target yako inapofikiwa

5. Epuka overtrading na revenge kubali loss ndogo uliyopata hio siku na usitake kuirudisha kwa lazima soko haliendi popote lipo pale kwa ajili yako Leo ,kesho na hata mile


NB ukizingatia haya utaona forex rahisiView attachment 2775225

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Hebu ngoja,, umeitoa $37- 1100+$? Mbona unasema watu waanze na 600$?
 
Mimi ni mwalimu, Kuna kipindi niliingia mkopo bank kwa sababu ya changamoto zilizonikabili ikapelekea kubaki na sh 205,000 tu kwenye take home na huku Nina familia
Kitu pekee kilichonisaidia mpaka Sasa ni forex trading (Mimi natrade indices) tu Ili zinihakikishie ugali hata weekend

Hilo robot la tingatinga nalijua na anauza Dola 1000$ ila halitasaidia kitu Wala usiwe impressed na results wanazopost Instagram page yao

Kitu kikubwa kinachohitajika kwenye forex ni hivi vifuatavyo
1. Mtaji at least 600$ japo ukiwa na 1000$ ni vizuri zaidi
2. Risk management ( hapa ndo chanzo Cha watu wengi kuiona forex ni ngumu au scarm ukiweza kwenye risk management umeweza forex mfano kwenye hio dollar 1000$ tumia lot ya 0.10 kwenye currency na 0.1 kwenye index kama nasdaq, us30,index 500, n.k vile vile kwenye commodity kama gold na silver tumia lot 0.1 position moja au mbili

Na target ya profit yako kwa huo mtaji urange Dola 0$-20$ per day)

3. Subira ( ukiwa na subira katika soko la forex ni hatua mojawapo ya kuvuka kiunzi Cha kupata loss , subira kwenye entry, subira kwenye loss, subira kwenye profit depends na ww soko unalionaje)

4. Chukua profit na fuata plan yako usijaribu katu kubadili mawazo pindi target yako inapofikiwa

5. Epuka overtrading na revenge kubali loss ndogo uliyopata hio siku na usitake kuirudisha kwa lazima soko haliendi popote lipo pale kwa ajili yako Leo ,kesho na hata mile


NB ukizingatia haya utaona forex rahisiView attachment 2775225

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Hongere sana mkuu,itabidi nikutafute unielekeze one on one maana naona kama nimapicha picha tu labda ninge onana na ww ilinione live unavotrade ingesaidia pakubwa
 

Attachments

  • Screenshot_20231008-123857.jpg
    Screenshot_20231008-123857.jpg
    42.4 KB · Views: 6
Sawasawa mkuu.
Na unatumia mbinu ipi? Au indicators?
Pure price action is the key, Volatility zinatembea bila influence of fundamentals (News).
Lakini uvumilivu wa kusubri the right time, inasumbua sana.
e.g hapa nimeingia baada ya kusubri for about 3days.
 

Attachments

  • Screenshot_20231008-132159.jpg
    Screenshot_20231008-132159.jpg
    67.6 KB · Views: 5
Pure price action is the key, Volatility zinatembea bila influence of fundamentals (News).
Lakini uvumilivu wa kusubri the right time, inasumbua sana.
e.g hapa nimeingia baada ya kusubri for about 3days.
Discipline, aisee mkuu, labda ndo maana soko lilinishinda .
Si unatumia SMC au patterns?
 
Discipline, aisee mkuu, labda ndo maana soko lilinishinda .
Si unatumia SMC au patterns?
Smart Money Concept (SMC), Wychoff concept, Order Broke, patterns , etc, vyote vinasaidia kutengeneza Confluence katika entry, lakini inachikua muda vyote ku- align, hivyo best entry inachikua muda kutokea na ikitokea inatembea muda mrefu sana.
 
Smart Money Concept (SMC), Wychoff concept, Order Broke, patterns , etc, vyote vinasaidia kutengeneza Confluence katika entry, lakini inachikua muda vyote ku- align, hivyo best entry inachikua muda kutokea na ikitokea inatembea muda mrefu sana.
Anhaa so unaweza tumia strategies zote hizo kwnye sehemu moja? Au ni kuimaster mojawapo?
 
Anhaa so unaweza tumia strategies zote hizo kwnye sehemu moja? Au ni kuimaster mojawapo?
Angalau uwe na sababu 3 za kuingia trade,
Kwa mfano tuseme we ni trend trader na price imefika kwenye trend/support, hapo inabdi uangalie tena kama **** stop loss hurting imefanyika (idea ya Wychoff) - Compost Man, kama tayar basi utasubr price either itengeneze W/M katika lower time frame 1H - reverse pattern then unaenter..
 

Attachments

  • Screenshot_20231008-142011.jpg
    Screenshot_20231008-142011.jpg
    72.1 KB · Views: 5
Angalau uwe na sababu 3 za kuingia trade,
Kwa mfano tuseme we ni trend trader na price imefika kwenye trend/support, hapo inabdi uangalie tena kama **** stop loss hurting imefanyika (idea ya Wychoff) - Compost Man, kama tayar basi utasubr price either itengeneze W/M katika lower time frame 1H - reverse pattern then unaenter..
Umeeleweka mkuu.
Respect.
 
Angalau uwe na sababu 3 za kuingia trade,
Kwa mfano tuseme we ni trend trader na price imefika kwenye trend/support, hapo inabdi uangalie tena kama **** stop loss hurting imefanyika (idea ya Wychoff) - Compost Man, kama tayar basi utasubr price either itengeneze W/M katika lower time frame 1H - reverse pattern then unaenter..
Forex terminology ni nying sana...kwa mfano sisi wa ict hyo m na w tunaeza ita swing failure au liquidity run wengne wataita doble bottom au double top concepts ni ile ile moja...haya mambo ukianza lazima uchanganyikiwe ila mwsho wa siku utakuta hamna jipya ni maneno tu ya kukuchanganya[emoji3]
 
Back
Top Bottom