Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆😂🤣🙏Kuna kenge alinichorea ramani akaniambia nyumba nzima niliyokuwa naitaka kuanzia msingi hadi kukamilika ni tofauti 1000 nikaona kujenga kumbe rahisi sana,picha linaanza msingi pekee tofauti 700,zikakatika nitakuja kumpiga makofi yule chizi
Haujapata hela tu mkuumilioni 6 Kwa ajili ya kununua tofali .......aaaah 🤣🙌 Bora nijenge nyumba ya mbinguni tu .....
Usiidharau kwa mchoro chief, hii nyumba ni kubwa mkuuWakuu,
Ni matumaini yangu mpo bukhery.
Naombeni msaada wenu hapa kwenye haka karamani.
Target yangu ilikua ni kutumia tofali range ya 3200-3600 ....
Sasa nimeambiwa tofali 4300 kichwa kinawaka moto.
Msaada wenu wakuu.
View attachment 2678706
Binafsi, sipendi public washroom iwe na choo na bafu kwenye kichumba kimoja. Mtu akiwa anaharisha na anataka kuingia chooni na wakati huo huo mwingine yupo bafuni anaoga, huyu wa kuharisha atajiharishia. Tafuta namna utenganishe hizi sehemu mbili.Wakuu,
Ni matumaini yangu mpo bukhery.
Naombeni msaada wenu hapa kwenye haka karamani.
Target yangu ilikua ni kutumia tofali range ya 3200-3600 ....
Sasa nimeambiwa tofali 4300 kichwa kinawaka moto.
Msaada wenu wakuu.
View attachment 2678706
Sebule kuwa spacious sio shida, ahida ni hizo corridor, zinachukua spaces bila sababu. Siku hizi designs za kutosha zipo ambazo hakuna makorido mengi. Standard house yenye 150m² kwa uchumi wa kawaida.Siku hizi sebule kubwa ni mateso,kuanzia kwenye kununua mapazia,masofa n.k
Punguza ukubwa wa sebule,stoo na master bedroom-hicho chumba cha dressing cha nini??
Ondoa makorido yanachukua space na kuongeza ukubwa wa nyumba.
Tengeneza ramani inayoendana na uchumi wako,aftr law nyumba zenyewe wanaume ukiishi sana miaka 15.