Naomba ushauri kwenye sakata hili

It was an organized crime waliotengeneza scenario ili kuvutia Uaminifu kwao. Sema hukugundua
 
Nenda kituo Cha polisi toa gharam mtrack alipo, inawezekana hata kigoma hayupo! Hakuna biashara ngumu Kama ya mtandaoni hasa kwa mtu amabaye hujafika hata kuona ofisi yake!!. Kiufupi huyo hafanyi biashara hiyo ya vitenge n tapeli Kama walivyo CCM tu.
Ni matapeli wanamtumia mwanamke ili kuongeza imani kwa watapeliwa
 
Ishu za Kigoma nimetapeliwa na mtoto wa ndugu yangu kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukute mwenzio yupo temeke tu hapo unahangaika kusema yupo kigoma.

Mzee amka usonge mbele. Imeisha hiyo mbona
Huyo wa mjini tu hapo,hana kitenge wala kanga na sio mwanamke.
Ni hayo madubwasha yanapenda kula kitimoto na ugali,
Tumbo kubwa km gari ya maji macchafu.
yamepiga moka na mashati, yanajua kila kitu.
Matapeli siku hizi linabonyeza tu bonyee,Umeliwa.
 

Kuna watu wa: Congo, Rwanda, Burundi na Kenya wanatumia Whatsapp na hawako maeneno wanayosema.

Kama usifanya biashara na mazungumzo kwa njia ya Whatsapp maana mtu anaweza kuwa Kiranyi akasema yupo Australia.

Kuna cse nyingi sana za vijana kanda ya ziwa, Tabora, washamba wa video, wanadanganywa kuna mizigo yao inatoka UK wanapigwa kila siku.

U cant, huwezi, pata hiyo hela.
 
Unamwambia atume live location katika Whatsaap. Hiyo ni muhimu sana
 
Ndugu, kwanza wewe mitandaoni ni mgeni?
Huyo mtu, ni tapeli, hata profile yake nimeifatilia ina marafiki 43 tu huko facebook, hana ndugu, haana picha binafsi. Picha zake ziko sita tu. Hukufatilia vyte hvi hiyo mayassa ni ghost account. Hata kama yupo dar. Huwezi mpata.
 
Sijamaliza kusoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…