Naomba ushauri mafuta ya kutumia sehemu za baridi

Kwani humu jf mbona kuna matabaka
mbona kila nikiuliza swali mimi huwa sijibiwi
na wapo wanaoview ila hakuna ata alietia neno
Mbona kutengana jamani....???[emoji22][emoji22][emoji22]
 
bodyline mafuta mazito (mgando) changanya na grylicerine ya Zambia. N.B usipake usoni
 
Umeshasema uso una mafuta tena mafuta ya nini? Hata hivyo Vaseline za Kenya nazo si mbaya na kwenye baridi epuka kupaka mafuta mepesi mepesi hayakai tafuta mazito.( maana kuna mafuta mengine ni ya mgando lkn ukiyatest ni mepesi mno)
 
Umeshasema uso una mafuta tena mafuta ya nini? Hata hivyo Vaseline za Kenya nazo si mbaya na kwenye baridi epuka kupaka mafuta mepesi mepesi hayakai tafuta mazito.( maana kuna mafuta mengine ni ya mgando lkn ukiyatest ni mepesi mno)
Uso una mafuta ndio
lakini nkifika kule unapauka sana mpaka naanza kubabuka
 
Tumia happy skin my utafurahi na shoo mwenyewe yani hata hauitaji kuweka greslin ni yenyewe tu

Ni cheki 0653482355
 
Kwani humu jf mbona kuna matabaka
mbona kila nikiuliza swali mimi huwa sijibiwi
na wapo wanaoview ila hakuna ata alietia neno
Mbona kutengana jamani....???[emoji22][emoji22][emoji22]
Tumia carrorite
 
tumia KY JELLY mkuu,hautojuta na haina michubuko!
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…