Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushaur mzur,, mtu amejigeuz mnyama unaendlea nae wa nn?? hata km mapnz upofu,, huu sas ni ujinga…!!Endelea nae tu na fumuen marinda tu ila wakati wa kuzaa uwe nae labour ili uzibe na mkono wako hilo tundu. Achen akili za kishetan nyie watoto. Achana nae na jenga maisha yako. Unless otherwise nawe ni mwanachama wa mtandao pendwa.
Nb: dini zoe zimekataza
Mkuu umeokota dodo chini ya mbuyu...
Mbona mm sipati bahati km hizi
Kwa yanayoendelea duniani daah sijui lakin ngoja nkae kae kwanza maana unawezaoa pasipoEndelea nae tu na fumuen marinda tu ila wakati wa kuzaa uwe nae labour ili uzibe na mkono wako hilo tundu. Achen akili za kishetan nyie watoto. Achana nae na jenga maisha yako. Unless otherwise nawe ni mwanachama wa mtandao pendwa.
Nb: dini zoe zimekataza
Habari wakuu, Mimi ni kijana wa umri miaka 23, nipo kwenye wakati mgum kwa sasa kuamua kikwazo hiki kikubwa kilichopo mbele yangu...
Kuna msichana mmoja nilimpenda sana pindi tukiwa chuo na kila nilipo mfuata alinikatalia na kusema ye ana mpenzi, sikukata tamaa niliendelea msumbua sana tukiwa tumeshamaliza chuo binti alikubali kwa kusema kuwa Yule mpenzi wake wameachana...
Bas kwa kuwa nilimpenda nikaingia nae kwenye uhusiano na malengo yangu ni kuja kumuoa siku moja, tumedum kwenye uhusiano kwa mda wa miezi minne ivi.
Binti akaanza badilika na kusema hapaswi kuwa na mimi, hapaswi kuwa na mwanaume nlietulia kama Mimi na sipaswi kuwa Mme wake kumbana sana akasema kuwa mwanaume wake aliyekuwa na uhusiano nae kipindi tuko chuo alikuwa anafanya nae mapenzi kinyume na maumbile na wamefanya ivo kwa mda wa miaka miwili ndipo wakaachana, binti anasema hataki mambo ya mahusiano au kama ntaendelea kuwa nae nikubali kufanya nae kinyume na maumbile. Mi nampenda uyu binti nije kumuoa siku moja ila sasa nipo dilemma kumuacha au kuendelea NAE.. NAOMBA USHAURI WENU WADAU NATANGULIZA SHUKRANI.....
Asante sana kwa ushauri kkWe kijana mwehu unataka nini zaidi ya onyo kama hili....demu kawa used na wanawake wa namna hii si wa kuwaoa.....hawa ni ile sampuli ya kula na kuacha ili wengine waje kumwaga oil na kumchosha demu. Akili zikimjia ndipo atakumbuka kuwa alichezea maisha when she's 70 yrs old. Achana naye huyo, atakulostisha bure.
Pole sanaHabari wakuu,
Mimi ni kijana wa umri miaka 23, nipo kwenye wakati mgumu kwa sasa kuamua kikwazo hiki kikubwa kilichopo mbele yangu. Kuna msichana mmoja nilimpenda sana pindi tukiwa chuo na kila nilipomfuata alinikatalia na kusema yeye ana mpenzi, sikukata tamaa niliendelea msumbua sana tukiwa tumeshamaliza chuo binti alikubali kwa kusema kuwa yule mpenzi wake wameachana.
Basi kwa kuwa nilimpenda nikaingia nae kwenye uhusiano na malengo yangu ni kuja kumuoa siku moja, tumedumu kwenye uhusiano kwa mda wa miezi minne hivi. Binti akaanza badilika na kusema hapaswi kuwa na mimi, hapaswi kuwa na mwanaume nilietulia kama mimi na sipaswi kuwa mume wake.
Kumbana sana akasema kuwa mwanaume wake aliyekuwa na uhusiano nae kipindi tuko chuo alikuwa anafanya nae mapenzi kinyume na maumbile na wamefanya hivyo kwa mda wa miaka miwili ndipo wakaachana, binti anasema hataki mambo ya mahusiano au kama nitaendelea kuwa nae nikubali kufanya nae kinyume na maumbile.
Mi nampenda huyu binti nije kumuoa siku moja ila sasa nipo dilemma kumuacha au kuendelea NAE, NAOMBA USHAURI WENU WADAU.
NATANGULIZA SHUKRANI.
We kijana mwehu unataka nini zaidi ya onyo kama hili....demu kawa used na wanawake wa namna hii si wa kuwaoa.....hawa ni ile sampuli ya kula na kuacha ili wengine waje kumwaga oil na kumchosha demu. Akili zikimjia ndipo atakumbuka kuwa alichezea maisha when she's 70 yrs old. Achana naye huyo, atakulostisha bure.