Naomba ushauri: Mimi nafanya biashara na Wakinga je, nichukue tahadhari gani?

Naomba ushauri: Mimi nafanya biashara na Wakinga je, nichukue tahadhari gani?

Duh mkuu kweli unasema au unanitakia majanga yanipate mnk Nina mmoja anaitwa J......tweve namfikiria lkn huwa namuogopa mnk nae anapesa balaa na Bado hajaolewa na huwa namuogopa mno nahisi asije kuwa Ni wale wale tu wa kutoa kafara am scared u know[emoji23]
Fanya haraka uoe kabla wajanja hawajambeba bro!!!
Huyo akikuchit ujue wewe ndo umezingua sio sababu ya njaa za pesa.
Na kingine hata ukifa watoto wako wako mikono salama, watasoma na watakuwa na urithi kifupi hawatoyumba kimaisha km hao pichu mkononi.
Wakinga hatuamini kwenye kuhongwa au pesa za mume 😜
 
UAMINIFU ndio bidhaa ADIMU sana kuipata siku hizi.

Zingatia UAMINIFU usianze leta uhuni watu wakikuamini kwa kazi na biashara.

Utakaribisha nguvu hasi.
 
Mimi ninawashauri wakinga wawe makini na mtu mpumbavu kama wewe. Mtu ambaye umeaminika hadi kukopeshwa mzigo wa noti ndefu lakini bado unahisi unataka kutapeliwa na kulogwa... jinga kabisa. Watu kama nyie ndo mnafanya maendeleo yasiwepo.
[emoji23][emoji23][emoji23] haya bhana mkuu
 
Back
Top Bottom