Fanya haraka uoe kabla wajanja hawajambeba bro!!!Duh mkuu kweli unasema au unanitakia majanga yanipate mnk Nina mmoja anaitwa J......tweve namfikiria lkn huwa namuogopa mnk nae anapesa balaa na Bado hajaolewa na huwa namuogopa mno nahisi asije kuwa Ni wale wale tu wa kutoa kafara am scared u know[emoji23]
ttz ni hyo iman yko juu ya wakinga,una iman ya kshamba snAcha chuki binafsi Kama huna biashra na huji Cha kufanya njoo na wee nikupe abcd uagize mizigo
[emoji23][emoji23][emoji23] haya bhana mkuuMimi ninawashauri wakinga wawe makini na mtu mpumbavu kama wewe. Mtu ambaye umeaminika hadi kukopeshwa mzigo wa noti ndefu lakini bado unahisi unataka kutapeliwa na kulogwa... jinga kabisa. Watu kama nyie ndo mnafanya maendeleo yasiwepo.