Naomba ushauri mke wangu ameanza kunidharau

Naomba ushauri mke wangu ameanza kunidharau

Nyatyo

Member
Joined
Sep 21, 2017
Posts
89
Reaction score
78
Habari wakuu jamani hapa ni ushauri wa kujenga tu ndio unahitajika.

Wakuu, mimi nimeoa nampenda sana mkewangu lakini hapa juzi kati nilichepuka na sikutumia kinga maana niliechepuka nae ni mtu wangu wa siku nyingi tu na ndio michezo yetu hio sasa kiukwel baada ya siku kupita nilianza kupata maumivu kwenye dudu hasa wakati wa kukojoa.

Nikajua UTI nikameza dawa za UTI lkn kadri siku zinavoenda naona hali inazidi kubadilika. Nikawa natoka vipele Halafu dudu inakua kama inawasha vile sometimes kama inawaka moto.

Sasa maumivu yanazidi na mke wangu anaonekana kabisa anataka kupelekewa moto lakini nashindwa maana naumwa na nimemficha maana akijua naogopa itakua kesi.

Nimemuliza yule mchepuko kama yeye anaumwa anasema yeye yupo fiti tu. Ikabidi niende Hosptal kupima inaonekana nina ugonjwa wa zinaa[emoji2296] na nimepewa dawa za kutumia wiki 2 na nimeambiwa nisifanye tendo hadi nimalize dawa sasa nawaza hizo wiki 2 zote nitasingizia nini Mke wangu ili anielewe maana ishapita wiki sasa sijashiriki nae na kuna mda anajiweka tayari kabisa kwa shoo mimi nachomoa nimepata tabu kwa hio wiki 1 sasa doctor kasema wiki 2 na nimemaliza visingizio vyote nipeni mbinu Wakuu.
 
FB_IMG_1719557793598.jpg
 
Habari wakuu jamani hapa ni ushauri wa kujenga tu ndio unahitajika..

wakuu mimi nimeoa nampenda sana mkewangu lakini hapa juzi kati nilichepuka na sikutumia kinga maana niliechepuka nae ni mtu wangu wa siku nyingi tu na ndio michezo yetu hio sasa kiukwel baada ya siku kupita nilianza kupata maumivu kwenye dudu hasa wakati wakukojoa

Nikajua UTI nikameza dawa za UTI lkn kadri siku zinavoenda naona hali inazidi kubadilika
Nikawa natoka vipele Halafu dudu inakua kama inawasha vile sometimes kama inawaka moto

Sasa maumivu yanazidi na mke wangu anaonekana kabisa anataka kupelekewa moto lakini nashindwa maana naumwa na nimemficha maana akijua naogopa itakua kesi

Nimemuliza yule mchepuko kama yeye anaumwa anasema yeye yupo fiti tu. Ikabidi niende Hosptal kupima inaonekana nina ugonjwa wa zinaa[emoji2296] na nimepewa dawa za kutumia wiki 2 na nimeambiwa nisifanye tendo hadi nimalize dawa sasa nawaza hizo wiki 2 zote nitasingizia nini Mke wangu ili anielewe maana ishapita wiki sasa sijashiriki nae na kuna mda anajiweka tayari kabisa kwa shoo mimi nachomoa nimepata tabu kwa hio wiki 1 sasa doctor kasema wiki 2 na nimemaliza visingizio vyote nipeni mbinu Wakuu.
safiri kidogo kama wiki moja ukirudi heshima itarudi. Usichepuke tena maana unavuna ulichopanda. Unaweza kutuambia unakosa nini kwa mkeo?
 
Habari wakuu jamani hapa ni ushauri wa kujenga tu ndio unahitajika..

wakuu mimi nimeoa nampenda sana mkewangu lakini hapa juzi kati nilichepuka na sikutumia kinga maana niliechepuka nae ni mtu wangu wa siku nyingi tu na ndio michezo yetu hio sasa kiukwel baada ya siku kupita nilianza kupata maumivu kwenye dudu hasa wakati wakukojoa

Nikajua UTI nikameza dawa za UTI lkn kadri siku zinavoenda naona hali inazidi kubadilika
Nikawa natoka vipele Halafu dudu inakua kama inawasha vile sometimes kama inawaka moto

Sasa maumivu yanazidi na mke wangu anaonekana kabisa anataka kupelekewa moto lakini nashindwa maana naumwa na nimemficha maana akijua naogopa itakua kesi

Nimemuliza yule mchepuko kama yeye anaumwa anasema yeye yupo fiti tu. Ikabidi niende Hosptal kupima inaonekana nina ugonjwa wa zinaa[emoji2296] na nimepewa dawa za kutumia wiki 2 na nimeambiwa nisifanye tendo hadi nimalize dawa sasa nawaza hizo wiki 2 zote nitasingizia nini Mke wangu ili anielewe maana ishapita wiki sasa sijashiriki nae na kuna mda anajiweka tayari kabisa kwa shoo mimi nachomoa nimepata tabu kwa hio wiki 1 sasa doctor kasema wiki 2 na nimemaliza visingizio vyote nipeni mbinu Wakuu.
Doctor kakuingiza chaka ama wewe ndio unataka kutuingiza sisi
 
Bro kwanza nikupe pole kwa kuumwa ugonjwa wa zinaa.
Huyo manzi ako wa kando anaugua maradhi, tena maradhi sugu, na huyo ni carrier wa huo ugonjwa, anasambaza wakati mwenyewe haumwi, mwambie haraka sana aende hospital kupima na kutibiwa, usimuonee aibu mchane ana ugonjwa wa zinaa. Achana naye hata kwa condom usipige naye show Mpaka akatibiwe.

Kuhusu mkeo fanya hivi, mwambie umepima hospitali baada ya kuona mkojo wako mchafu umekutwa na UTI kali sana na umeandikiwa dozi za kutumia wiki nzima, nenda Pharmacy kanunue Azuma au dawa zozote ujifanye ndio dozi uliyopewa, usimuonyeshe hayo madawa unayotumia asije akajua una gono.
La mwisho jitahidi kuwa mwaminifu kwenye ndoa yako ingawa ni ngumu basi tumia kinga, it helps alot.
 
Habari wakuu jamani hapa ni ushauri wa kujenga tu ndio unahitajika..

wakuu mimi nimeoa nampenda sana mkewangu lakini hapa juzi kati nilichepuka na sikutumia kinga maana niliechepuka nae ni mtu wangu wa siku nyingi tu na ndio michezo yetu hio sasa kiukwel baada ya siku kupita nilianza kupata maumivu kwenye dudu hasa wakati wakukojoa

Nikajua UTI nikameza dawa za UTI lkn kadri siku zinavoenda naona hali inazidi kubadilika
Nikawa natoka vipele Halafu dudu inakua kama inawasha vile sometimes kama inawaka moto

Sasa maumivu yanazidi na mke wangu anaonekana kabisa anataka kupelekewa moto lakini nashindwa maana naumwa na nimemficha maana akijua naogopa itakua kesi

Nimemuliza yule mchepuko kama yeye anaumwa anasema yeye yupo fiti tu. Ikabidi niende Hosptal kupima inaonekana nina ugonjwa wa zinaa[emoji2296] na nimepewa dawa za kutumia wiki 2 na nimeambiwa nisifanye tendo hadi nimalize dawa sasa nawaza hizo wiki 2 zote nitasingizia nini Mke wangu ili anielewe maana ishapita wiki sasa sijashiriki nae na kuna mda anajiweka tayari kabisa kwa shoo mimi nachomoa nimepata tabu kwa hio wiki 1 sasa doctor kasema wiki 2 na nimemaliza visingizio vyote nipeni mbinu Wakuu.
mkeo akianza kujinyea uje kutuomba ushauri pia
 
Bro kwanza nikupe pole kwa kuumwa ugonjwa wa zinaa.
Huyo manzi ako wa kando anaugua maradhi, tena maradhi sugu, na huyo ni carrier wa huo ugonjwa, anasambaza wakati mwenyewe haumwi, mwambie haraka sana aende hospital kupima na kutibiwa, usimuonee aibu mchane ana ugonjwa wa zinaa. Achana naye hata kwa condom usipige naye show Mpaka akatibiwe.

Kuhusu mkeo fanya hivi, mwambie umepima hospitali baada ya kuona mkojo wako mchafu umekutwa na UTI kali sana na umeandikiwa dozi za kutumia wiki nzima, nenda Pharmacy kanunue Azuma au dawa zozote ujifanye ndio dozi uliyopewa, usimuonyeshe hayo madawa unayotumia asije akajua una gono.
La mwisho jitahidi kuwa mwaminifu kwenye ndoa yako ingawa ni ngumu basi tumia kinga, it helps alot.
Ushauri mzuri sana huu
 
Bro kwanza nikupe pole kwa kuumwa ugonjwa wa zinaa.
Huyo manzi ako wa kando anaugua maradhi, tena maradhi sugu, na huyo ni carrier wa huo ugonjwa, anasambaza wakati mwenyewe haumwi, mwambie haraka sana aende hospital kupima na kutibiwa, usimuonee aibu mchane ana ugonjwa wa zinaa. Achana naye hata kwa condom usipige naye show Mpaka akatibiwe.

Kuhusu mkeo fanya hivi, mwambie umepima hospitali baada ya kuona mkojo wako mchafu umekutwa na UTI kali sana na umeandikiwa dozi za kutumia wiki nzima, nenda Pharmacy kanunue Azuma au dawa zozote ujifanye ndio dozi uliyopewa, usimuonyeshe hayo madawa unayotumia asije akajua una gono.
La mwisho jitahidi kuwa mwaminifu kwenye ndoa yako ingawa ni ngumu basi tumia kinga, it helps alot.
Akisrma uti ataulizwa alikoipata
 
Sijaona sehemu yeyote ambayo inathibitisha kua mkeo ameanza kukudharau,


Mpe talaka huyo mkeo kabla hujamletea magonjwa mengine ambayo hayatibiki,
Kama umeshindwa kuijali afya yako wewe mwenyewe,sidhani kama una moyo wa kujali afya za watu wengine,

Mpe talaka mtoto wa watu aende zake kabla hujamletea umauti kwake.
 
Habari wakuu jamani hapa ni ushauri wa kujenga tu ndio unahitajika..

wakuu mimi nimeoa nampenda sana mkewangu lakini hapa juzi kati nilichepuka na sikutumia kinga maana niliechepuka nae ni mtu wangu wa siku nyingi tu na ndio michezo yetu hio sasa kiukwel baada ya siku kupita nilianza kupata maumivu kwenye dudu hasa wakati wakukojoa

Nikajua UTI nikameza dawa za UTI lkn kadri siku zinavoenda naona hali inazidi kubadilika
Nikawa natoka vipele Halafu dudu inakua kama inawasha vile sometimes kama inawaka moto

Sasa maumivu yanazidi na mke wangu anaonekana kabisa anataka kupelekewa moto lakini nashindwa maana naumwa na nimemficha maana akijua naogopa itakua kesi

Nimemuliza yule mchepuko kama yeye anaumwa anasema yeye yupo fiti tu. Ikabidi niende Hosptal kupima inaonekana nina ugonjwa wa zinaa[emoji2296] na nimepewa dawa za kutumia wiki 2 na nimeambiwa nisifanye tendo hadi nimalize dawa sasa nawaza hizo wiki 2 zote nitasingizia nini Mke wangu ili anielewe maana ishapita wiki sasa sijashiriki nae na kuna mda anajiweka tayari kabisa kwa shoo mimi nachomoa nimepata tabu kwa hio wiki 1 sasa doctor kasema wiki 2 na nimemaliza visingizio vyote nipeni mbinu Wakuu.
Mwambie umetenguka mshipa wa u b oo
 
Habari wakuu jamani hapa ni ushauri wa kujenga tu ndio unahitajika..

wakuu mimi nimeoa nampenda sana mkewangu lakini hapa juzi kati nilichepuka na sikutumia kinga maana niliechepuka nae ni mtu wangu wa siku nyingi tu na ndio michezo yetu hio sasa kiukwel baada ya siku kupita nilianza kupata maumivu kwenye dudu hasa wakati wakukojoa

Nikajua UTI nikameza dawa za UTI lkn kadri siku zinavoenda naona hali inazidi kubadilika
Nikawa natoka vipele Halafu dudu inakua kama inawasha vile sometimes kama inawaka moto

Sasa maumivu yanazidi na mke wangu anaonekana kabisa anataka kupelekewa moto lakini nashindwa maana naumwa na nimemficha maana akijua naogopa itakua kesi

Nimemuliza yule mchepuko kama yeye anaumwa anasema yeye yupo fiti tu. Ikabidi niende Hosptal kupima inaonekana nina ugonjwa wa zinaa[emoji2296] na nimepewa dawa za kutumia wiki 2 na nimeambiwa nisifanye tendo hadi nimalize dawa sasa nawaza hizo wiki 2 zote nitasingizia nini Mke wangu ili anielewe maana ishapita wiki sasa sijashiriki nae na kuna mda anajiweka tayari kabisa kwa shoo mimi nachomoa nimepata tabu kwa hio wiki 1 sasa doctor kasema wiki 2 na nimemaliza visingizio vyote nipeni mbinu Wakuu.
Jipe safari ya ghafla Mangi mwachie hata 50 unajifanya Kuna mishe umepata nje ya ulipo
 
Ugonjwa wa aibu sana huo ktk jamii..nashukuru Mungu mpaka umri huu sijawahi kukumbwa na migonjwa ya aibu kama hiyo.
 
Habari wakuu jamani hapa ni ushauri wa kujenga tu ndio unahitajika..

wakuu mimi nimeoa nampenda sana mkewangu lakini hapa juzi kati nilichepuka na sikutumia kinga maana niliechepuka nae ni mtu wangu wa siku nyingi tu na ndio michezo yetu hio sasa kiukwel baada ya siku kupita nilianza kupata maumivu kwenye dudu hasa wakati wakukojoa

Nikajua UTI nikameza dawa za UTI lkn kadri siku zinavoenda naona hali inazidi kubadilika
Nikawa natoka vipele Halafu dudu inakua kama inawasha vile sometimes kama inawaka moto

Sasa maumivu yanazidi na mke wangu anaonekana kabisa anataka kupelekewa moto lakini nashindwa maana naumwa na nimemficha maana akijua naogopa itakua kesi

Nimemuliza yule mchepuko kama yeye anaumwa anasema yeye yupo fiti tu. Ikabidi niende Hosptal kupima inaonekana nina ugonjwa wa zinaa[emoji2296] na nimepewa dawa za kutumia wiki 2 na nimeambiwa nisifanye tendo hadi nimalize dawa sasa nawaza hizo wiki 2 zote nitasingizia nini Mke wangu ili anielewe maana ishapita wiki sasa sijashiriki nae na kuna mda anajiweka tayari kabisa kwa shoo mimi nachomoa nimepata tabu kwa hio wiki 1 sasa doctor kasema wiki 2 na nimemaliza visingizio vyote nipeni mbinu Wakuu.
1.Tafuta safar ya kikazi ....
2. Ukome.
 
Back
Top Bottom