Naomba ushauri, mke wangu anakasirika hovyo

Naomba ushauri, mke wangu anakasirika hovyo

Mzee unatuangusha ! Mtoto wa kike kubebembelezwa, na nafanya hayo ili umpeti mpeti nae ajione kua anathaminiwa na kupendwa... Hapo hakuna tatizo, huenda tatizo ukawa wewe haujui mtoto anataka kubembelezwa. Mtoto wa kike kama mtoto mchanga 🙄
mambo mengi kicwan had mengin nayasahau kaka kama. hilo nikua nishasahau[emoji4] [emoji4] [emoji4] asant kwa hilo
 
mambo mengi kicwan had mengin nayasahau kaka kama. hilo nikua nishasahau[emoji4] [emoji4] [emoji4] asant kwa hilo

Mambo ni mengi, ila hilo ni muhimu sana. Ndani ya nyumba amani na furaha ni muhimu sana... lazima u balance mambo yako
 
Mkuu dawa ya wanawake wa hivyo ni kujitafutia mchepuko ili akinuna tu wewe kajipumzikie kwa mchepuko mbona akili itamkaa sawa tu.
apana dawa hio feki mkuu inbd nend nnay stail yakubembeleza apo una sema aj?
 
Habari za hizi saizi wanajamvi,

Naombeni ushauri,

Kuna jambo fulani nashindwa kulielewa kwa mke wangu, mke wangu ana mambo ya kujigumua. Mfano mmepangilia kwenda sehemu naye (out) ukafanya any kind of mistake as human being tayari anakasirika fasta na anakwambia siendi tena nenda mwenyewe.

So what can i do as an advice my fellow brothers, sisters hua nauzika kichizi.
Dawa ya moto ni moto,,,akinuna na wewe nuna tu hata ikipita mwezi bado kanuna na wewe endelea kununa hadi ajishushe aanze yeye kucheka
 
Haufanyi kazi yako ipaswavyo hasa kule unapostahili kujenga heshima,mpe dozi nzuri ambayo akikuona ana tabasamu,yawezekana humkuni.
 
Hasira nyingii za wanawake husababishwa na genye, hebu mkunje kisawa sawa halafu uone kama hiyo hali itajirudia....
You make my day [emoji7] [emoji8] ,yaani umenichekesha sina mbavu,ni kweli[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mpaka aulize unampaga nani hivi na wivu tele[emoji8]
 
Mie mwenyewe nilipataga shida sana kumuelewa wangu, wakati mwingine hata barabarani alikua anazingua, sasa na mie nilikua namzingua kwekweli hadi anajuta, but baada ya kumsoma vizuri na kumuelewa, sasa hivi hakuna shida tena. Nina mlea kama mtoto mchanga, wakati mwingine kuwasha jiko tena la gesi hadi mie nikawashe, nisipo enda kumsaidia analia au kunuanaa .... but maisha matamu
Pengine hujamwelewa bado ila ni limbwata at work.Aliyekuweka moyoni hawezi kukuletea mbwembwe kiasi hicho.Kuna kiwango cha kudeka.Kikizidi chunguza.Inawezekana kuna mtu mwingine anayempa kiburi na kwasasa hainjoi tena kutoka nawe ila unamlazimisha tu.Kumjua vizuri mtoto wa kike ni sawa na kujua lugha za wanyama!
 
Pengine hujamwelewa bado ila ni limbwata at work.Aliyekuweka moyoni hawezi kukuletea mbwembwe kiasi hicho.Kuna kiwango cha kudeka.Kikizidi chunguza.Inawezekana kuna mtu mwingine anayempa kiburi na kwasasa hainjoi tena kutoka nawe ila unamlazimisha tu.Kumjua vizuri mtoto wa kike ni sawa na kujua lugha za wanyama!

Sasa jmapunda umekua msemaji wangu toka lini ? Mimi ndio nimesema hivyo, wewe tena unaleta habari zako za mambo ya limbwata... Mzee, wangu nina mdekeza kama mtoto mchanga, hata mda wa kulala hadi mie nimpeleke chumbani tuombe pamoja then nimpetiti hadi apitiwe na usingizi, ndio niendelee na mambo yangu, na ... ni kawaida tu, ila nyie mnajidai wagumu wagumu
 
Back
Top Bottom