Sawa kabisa mimi jamaa alishindwa kunilipa shg. 1,500,000/= . akahama na sikumdai mpaka leo. Nyumba ikapata mpangaji mwingine na maisha yanaendelea. Hakuna haja ya kugombana maana akihama nyumba ipo tu.Dah sema wenye nyumba wanakuwaga wababe sana huwa wanaona wameyapatia maisha. Halafu watoto wao wakina kuwa wakubwa wanapitia madhila Yale Yale waliyopitia wapangaji wao. Kama unaweza msamehe tu nyumba hayiami utapata mpangaji mwingine.
Watu wana roho za ajabu mpaka unajiuliza kama mungu yupo mbona anaruhusu roho kama hizo kuwapo.Nenda taratibu. Ni wanadamu wanakwaza.
Mie nina wa kwangu namdai karibia kodi ya miezi 8. Nasikia anajinasibu kwa wenzie anasema
"YAANI NIACHE KUMLIPIA MWANANGU ADA, NIMLIPE HUYO BOYA, FALA KODI YAKE..."
Namvutia pumzi
Busara ni kumpa notes alipe ama aondoke nyumba iwe wazi aje mwingine,ukiwa mwenye nyumba ndani ya miezi3 ukiona mtu hajalipa Basi ni vyema ukamtaka muachane tu maana hata Maisha hubadilika anaweza tafuta nyumba atayoimudu kwa muda huu, iwe ni nje ya mji kabisa ambazo kodi ni nafuu sana au maeneo kama mabibo, Manzese, Tandale ,kigogo,buguruni ama Mbagala anaweza pata chumba na sebule KWA 40000 tu na akajihifadhi na kujipanga upya.
Nenda KWA step pia maana naye ni binadamu na anahaki zake,ukikosea tu anaweza kukubadilikia na kukuhamza maana mtu akishmbuliwa na Tatzo la kodi hupatwa na stress sana,hata me pia
Hiyo milioni 1.2 umeikuta wapi mkuu?Samahani kidogo, ulikua unamdai milioni moja na laki mbili...akalipa laki nne ikabaki laki sita, hizo laki mbili nyingine mlikubaliana vipi?
Soma ujumbe niliouquoteHiyo milioni 1.2 umeikuta wapi mkuu?
Kuna jamaa mmoja aligonga mpangaji wake, mpangaji akajilenga na kamimba juu. Kutoa mimba hataki, kuhama nyumba hataki na kulipa kodi hataki.Wakuu habari:
Unajua hizi nyumba za kupangisha zina matatizo Sana,mtu umetumia pesa kibao kuwekeza,Bado Tena unakuja kupangisha majitu ambayo hayajielewi.
Ni hivi, Kuna mpangaji wangu now anakaribia miaka miwili kama na nusu kwenye mabanda yangu, Sasa huyu tangu kipindi cha Corona ya kwanza hile mambo yake hayajakaa sawa, nilikuwa namdai milioni , alilipa laki nne Bado laki sita, Sasa saundi zimekuwa nyingi, mara subiri kidogo, mara week ijayo, mara mwisho wa mwezi ,
Sasa nilichofikiria huyu bwana mdogo labda nikuzuia vitu vyake vyote,na kufunga nyumba Hadi hapo atakaponilipa pesa yangu,
Sasa je nikiwa na mjumbe siinatosha kiushaidi kwenda kumtimua hili nifunge nyumba Hadi atakapolipa Deni!!?
Au wazee wenzangu mwashaurije katika hili, maana sitaki kutumia ubabe sheria itanibana
Hiyo ni biashara kama zingineKama uwezo hana mzee kua muungwana maisha yanabadilika sana ukute anawaza namna ya kumaliza deni lako ingekua uwezo upoo labda hapo ungewaza ufanye nini
nimesoma nikacheka kwakuwa kwanza ninakimeo cha kodi cha mwenye nyumba wangu ambaye naenda kumpanga muda si mrefu.Wakuu habari:
Unajua hizi nyumba za kupangisha zina matatizo Sana,mtu umetumia pesa kibao kuwekeza,Bado Tena unakuja kupangisha majitu ambayo hayajielewi.
Ni hivi, Kuna mpangaji wangu now anakaribia miaka miwili kama na nusu kwenye mabanda yangu, Sasa huyu tangu kipindi cha Corona ya kwanza hile mambo yake hayajakaa sawa, nilikuwa namdai milioni , alilipa laki nne Bado laki sita, Sasa saundi zimekuwa nyingi, mara subiri kidogo, mara week ijayo, mara mwisho wa mwezi ,
Sasa nilichofikiria huyu bwana mdogo labda nikuzuia vitu vyake vyote,na kufunga nyumba Hadi hapo atakaponilipa pesa yangu,
Sasa je nikiwa na mjumbe siinatosha kiushaidi kwenda kumtimua hili nifunge nyumba Hadi atakapolipa Deni!!?
Au wazee wenzangu mwashaurije katika hili, maana sitaki kutumia ubabe sheria itanibana
Kuna jamaa yangu alipanga nyumba akakutana na mpangaji mtata ,miezi 6 ikapita bado anakwepa kulipa,akamwambia ondoka bado anasema ili niondoke lazima unipe notice . Mwenye nyumba alichofanya ni kumwita mjumbe mbele ya jamaa akasema nataka kurepair nyumba yangu aondoke ,mafundi wakaanza kutoa bati,chumba ikawa wazi kwa juu halafu akaacha hapo hapo ,mvua ikija au jua likiwaka watajua wenyewe au akiibiwa atajijua ..mbona aliondoka mwenyewe
Hujui kuwa mkataba inabidi uende Tra ulipiwe withholding tax na stamp duty?Yaan mkataba wa nyumba kupangisha upitishe Hadi TRA, nayeye akisema simdai si aonyeshe Ushaidi,
Nna Ushaidi wa kieletronic kuwa namdai na anafahamu
Kumbe kweli mkuu. Huyu katuingiza Mjini MagharibiSoma ujumbe niliouquote
Nenda Mombasa kuna nyumba za bure.Mkuu sasa kulikuwa na haja gani kuja kunitangaza huku? Chumba chenyewe banda tunaishi na panya, nzi mchana mbu usiku. Acha hizo bana duniani tunapita.
Mvumilie tu atakulipa au njoo na trekta vunja mabanda yako atahama kwa urahisi sana. Au kunya mavi weka mlangoni mwake atahama haraka.Wakuu habari:
Unajua hizi nyumba za kupangisha zina matatizo Sana,mtu umetumia pesa kibao kuwekeza,Bado Tena unakuja kupangisha majitu ambayo hayajielewi.
Ni hivi, Kuna mpangaji wangu now anakaribia miaka miwili kama na nusu kwenye mabanda yangu, Sasa huyu tangu kipindi cha Corona ya kwanza hile mambo yake hayajakaa sawa, nilikuwa namdai milioni , alilipa laki nne Bado laki sita, Sasa saundi zimekuwa nyingi, mara subiri kidogo, mara week ijayo, mara mwisho wa mwezi ,
Sasa nilichofikiria huyu bwana mdogo labda nikuzuia vitu vyake vyote,na kufunga nyumba Hadi hapo atakaponilipa pesa yangu,
Sasa je nikiwa na mjumbe siinatosha kiushaidi kwenda kumtimua hili nifunge nyumba Hadi atakapolipa Deni!!?
Au wazee wenzangu mwashaurije katika hili, maana sitaki kutumia ubabe sheria itanibana
Alinunuliwa biaSamahani kidogo, ulikua unamdai milioni moja na laki mbili...akalipa laki nne ikabaki laki sita, hizo laki mbili nyingine mlikubaliana vipi?