Usubiri mapenzi ya baba yatimie.Alafu??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jinga kweli weHizo dalili nilizipata kabla sijafa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee
Kwanza acha kula maugali mingiHabari wakuu
Ushauri wenu tafadhali, hii imekuwa ikinitokea kama mara yatatu mfululizo lakini leo saa nne asubuhi nimepitiwa usingizi kidogo kitandani nimejikuta naanza kuota vitu vya kutisha na watu wanamkimbia huyo mtu mimi amenikamata, mara nimeshtuka mwili wote hakuna kinachofanya nabaki kuangalia tu mpaka dakika 1 au 1:30 ndio fahamu zaviungo zimerudi.
sijui ni tatizo gani, ushauri wenu.
Asanteni
Wewe ni K au M?kwa ugar hiyo kitu nna siku ya nne sijatumia lakin inawezekana nkapime iyo kitu uliyonshauli
Israel mtoa roho anataka urafiki na weweMbona hivo mkuu umegundua nini
Mimi jinga tena ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jinga kweli we
Ndio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi jinga tena ?
Dah ...Ndio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]