kalipeni JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 1,571 Reaction score 1,328 Jan 31, 2023 #41 Mbongo4life said: Kumbe bei ya kawaida sana mimi nilizani bei ni kubwa sana. Asante Click to expand... Zinatofautiana kulingana na aina za bati unazotaka, kama izo nilizochukua gauge 28 bati moja la futi10 ni elfu 46 na point.
Mbongo4life said: Kumbe bei ya kawaida sana mimi nilizani bei ni kubwa sana. Asante Click to expand... Zinatofautiana kulingana na aina za bati unazotaka, kama izo nilizochukua gauge 28 bati moja la futi10 ni elfu 46 na point.