Naomba ushauri na mawazo kwenye kilimo na ufugaji


Kubota nimependa maelezo yako-yana leta sense sana
 
Endelea kutupa taarifa kadiri unavyo piga hatua ndugu. Hakika umechagua fungu jema, Kama mnataka mali mtayapata shambani...
Nami niko njiani, nataka kufanya Kilimo & Ufugaji pia. Kua maskini ukiwa Tanzania ni DHAMBI KUBWA MNO!!
Kweli tupu.
 

Kuhusu ufugaji soma hapa SEKTA YA MIFUGO TANZANIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…