chikha
Member
- Dec 26, 2014
- 12
- 11
Wakuu habari zenu
Nina kiwanja cha 20*20 hapa hapa Dar maeneo ya Tegeta Madare plan yangu ni kujenga nyumba kubwa ya vyumba vinne sebule daining jiko store. Lakini kwa sasa nipo na 7,000,000 ninataka nipige msingi wa nyumba nzima kisha ni pandishe viwili na kueka bati niweze kuamia kisha nijenge taratibu je kwa hiyo milioni saba naweza kutoboa mba kuamia kwa maana ya msingi wote na kupandisha vyumba viwili pakiwemo na madilisha ?
Ahsanteni sana naitaji msaada wenu nyumba ninayo tarajia kujenga ni HIDENROOF
Nina kiwanja cha 20*20 hapa hapa Dar maeneo ya Tegeta Madare plan yangu ni kujenga nyumba kubwa ya vyumba vinne sebule daining jiko store. Lakini kwa sasa nipo na 7,000,000 ninataka nipige msingi wa nyumba nzima kisha ni pandishe viwili na kueka bati niweze kuamia kisha nijenge taratibu je kwa hiyo milioni saba naweza kutoboa mba kuamia kwa maana ya msingi wote na kupandisha vyumba viwili pakiwemo na madilisha ?
Ahsanteni sana naitaji msaada wenu nyumba ninayo tarajia kujenga ni HIDENROOF