Naomba ushauri na muongozo wa ujenzi

Naomba ushauri na muongozo wa ujenzi

chikha

Member
Joined
Dec 26, 2014
Posts
12
Reaction score
11
Wakuu habari zenu

Nina kiwanja cha 20*20 hapa hapa Dar maeneo ya Tegeta Madare plan yangu ni kujenga nyumba kubwa ya vyumba vinne sebule daining jiko store. Lakini kwa sasa nipo na 7,000,000 ninataka nipige msingi wa nyumba nzima kisha ni pandishe viwili na kueka bati niweze kuamia kisha nijenge taratibu je kwa hiyo milioni saba naweza kutoboa mba kuamia kwa maana ya msingi wote na kupandisha vyumba viwili pakiwemo na madilisha ?

Ahsanteni sana naitaji msaada wenu nyumba ninayo tarajia kujenga ni HIDENROOF
 
wakuu habar zenu
nina kiwanja cha 20*20 hapa hapa dar maeneo ya tegeta madare plan yangu ni kujeng Nyumba kubwa ya vyumba vinne sebule daining jiko store. lakini kwa sasa nipo na 7,000,000 nnataka nipige msingi wa nyumba nzima kisha ni pandishe viwili na kueka bati niweze kuamia kisha nijenge taratibu je kwa hiyo milion saba naweza kutoboa mba kuamia kwa maana ya msingi wote na kupandisha vyumba viwili pakiwemo na madilisha ?

Ahsanteni sana naitaji msaada wenu nyumba ninayo tarajia kujenga ni HIDENROOF
Utajenga msingi na kozi kadhaa za kuta. Cha muhimu Anza utakapoishia utaendelea siku ukipata fedha nyingine huu ndio ujenzi wetu sisi wahangaikaji.
 
Nyumba kubwa huwa ni zaidi ya vyumba 3, msingi utakula hela, ila 1 room utatoboa given that toa shimo la choo
 
Mkuu hutoboi hyo million 7 ni ndogo Sana kwenye ujenzi na kulingana na sifa za nyumba uliyotaka
 
Unajua pigs hesabu tu za kawaida nyumba inahitaji tofali ngap, ufundi itagharimu shillings ngap, Mchanga na kokoto sh ngap hapo utajua kuwa utatoboa au la...

Ningekushauri chukua hiyo hela fungua biashara. .
Ukumbuke pia madare Hapana madale ni nje ya mji gharama zake za ujenzi unaagiza vitu mijini. .
 
Hapo labda upige msingi, uinue chumba kimoja upaue kabisa, kisha kitakachobaki ndio uinue kozo nyingine mpaka utakapoishia
 
wakuu habar zenu
nina kiwanja cha 20*20 hapa hapa dar maeneo ya tegeta madare plan yangu ni kujeng Nyumba kubwa ya vyumba vinne sebule daining jiko store. lakini kwa sasa nipo na 7,000,000 nnataka nipige msingi wa nyumba nzima kisha ni pandishe viwili na kueka bati niweze kuamia kisha nijenge taratibu je kwa hiyo milion saba naweza kutoboa mba kuamia kwa maana ya msingi wote na kupandisha vyumba viwili pakiwemo na madilisha ?

Ahsanteni sana naitaji msaada wenu nyumba ninayo tarajia kujenga ni HIDENROOF
Hutoboi hela ndogo hiyo ongeza ifike 10
 
Me nakomaa na hapo kwa hidden roof hapo acha kabisaaaa na wewe kwa hela zako za kuunga unga hizo kwanza utakuja kupaua hiyo fasheni ishakwisha kabisaaa pili ukipaua kwa hidden roof utafute na turubai pia
 
Mkuu usikatishwe tamaa mimi nakaribia kufikisha milioni moja na nyumba nayotaka kujenga ni ghorofa,think big bro why not [emoji276]
 
wakuu habar zenu
nina kiwanja cha 20*20 hapa hapa dar maeneo ya tegeta madare plan yangu ni kujeng Nyumba kubwa ya vyumba vinne sebule daining jiko store. lakini kwa sasa nipo na 7,000,000 nnataka nipige msingi wa nyumba nzima kisha ni pandishe viwili na kueka bati niweze kuamia kisha nijenge taratibu je kwa hiyo milion saba naweza kutoboa mba kuamia kwa maana ya msingi wote na kupandisha vyumba viwili pakiwemo na madilisha ?

Ahsanteni sana naitaji msaada wenu nyumba ninayo tarajia kujenga ni HIDENROOF
1. Vyumba viwili hakikisha na hesabu ya choo ipo
2. Hidden roof (Contemporary house) garama yake kubwa halafu aina hiyo ya nyumba sidhai kama inafaa kupandisha nusu nusu.
3. Kama ni nyumba ya familia vyumba 4 vya nini. Standard ni vyumba 3.
 
Back
Top Bottom