Mchaganuo mkuu inatemeana na mahala ulipo na ukubwa wa nyumba unayotaka kujengasawa baada ya kupata fundi mzur mchanganuo wake upoje hapo mkuu mwezi wa pilindo.nataka kuanza
Utajenga msingi na kozi kadhaa za kuta. Cha muhimu Anza utakapoishia utaendelea siku ukipata fedha nyingine huu ndio ujenzi wetu sisi wahangaikaji.wakuu habar zenu
nina kiwanja cha 20*20 hapa hapa dar maeneo ya tegeta madare plan yangu ni kujeng Nyumba kubwa ya vyumba vinne sebule daining jiko store. lakini kwa sasa nipo na 7,000,000 nnataka nipige msingi wa nyumba nzima kisha ni pandishe viwili na kueka bati niweze kuamia kisha nijenge taratibu je kwa hiyo milion saba naweza kutoboa mba kuamia kwa maana ya msingi wote na kupandisha vyumba viwili pakiwemo na madilisha ?
Ahsanteni sana naitaji msaada wenu nyumba ninayo tarajia kujenga ni HIDENROOF
Hata kikiwa flat, kwa 7M kuishia njiani kutamuhusuUnaweza kutoboa ila inategemea kiwanjankiko vipi kama kiwanja kina slop utaishia njiani
Mita, maana yake ni kiwanja cha mita 20 Kwa 20Hivi mtu akisema kiwanja 20*20 inakusudiwa vipimo gani?
Hutoboi hela ndogo hiyo ongeza ifike 10wakuu habar zenu
nina kiwanja cha 20*20 hapa hapa dar maeneo ya tegeta madare plan yangu ni kujeng Nyumba kubwa ya vyumba vinne sebule daining jiko store. lakini kwa sasa nipo na 7,000,000 nnataka nipige msingi wa nyumba nzima kisha ni pandishe viwili na kueka bati niweze kuamia kisha nijenge taratibu je kwa hiyo milion saba naweza kutoboa mba kuamia kwa maana ya msingi wote na kupandisha vyumba viwili pakiwemo na madilisha ?
Ahsanteni sana naitaji msaada wenu nyumba ninayo tarajia kujenga ni HIDENROOF
1. Vyumba viwili hakikisha na hesabu ya choo ipowakuu habar zenu
nina kiwanja cha 20*20 hapa hapa dar maeneo ya tegeta madare plan yangu ni kujeng Nyumba kubwa ya vyumba vinne sebule daining jiko store. lakini kwa sasa nipo na 7,000,000 nnataka nipige msingi wa nyumba nzima kisha ni pandishe viwili na kueka bati niweze kuamia kisha nijenge taratibu je kwa hiyo milion saba naweza kutoboa mba kuamia kwa maana ya msingi wote na kupandisha vyumba viwili pakiwemo na madilisha ?
Ahsanteni sana naitaji msaada wenu nyumba ninayo tarajia kujenga ni HIDENROOF