Naomba ushauri na uzoefu wa biashara ya mtandaoni

Naomba ushauri na uzoefu wa biashara ya mtandaoni

Joined
Jan 26, 2019
Posts
87
Reaction score
113
Habari za wakati huu wapendwa wanajukwaa.

Nimekuja na uzi huu ili kupata elimu kidogo kwenye hizi biashara za mtandaoni kama niza ukweli au la.

Ninataka kufanya check ya kuagiza simu aina ya Google pixel 4a kwa delivery za mikoani kutoka kampuni yoyote lakini sina uzoefu na pia siji amini.

Naomba maoni yenu au ushauri wenu kwa wale wazoefu jamani mnipatie mwongozo.

Nipo IGUNGA~TABORA.

Ahsanteni sana
 
Habari za wakati huu wapendwa wanajukwaa.

Nimekuja na uzi huu ili kupata elimu kidogo kwenye hizi biashara za mtandaoni kama niza ukweli au la.

Ninataka kufanya check ya kuagiza simu aina ya Google pixel 4a kwa delivery za mikoani kutoka kampuni yoyote lakini sina uzoefu na pia siji amini.

Naomba maoni yenu au ushauri wenu kwa wale wazoefu jamani mnipatie mwongozo.

Nipo IGUNGA~TABORA.

Ahsanteni sana
Kuna nyuzi Moja ilishafafanua search jinsi ya kufanya manunuzi alibaba
 
Habari za wakati huu wapendwa wanajukwaa.

Nimekuja na uzi huu ili kupata elimu kidogo kwenye hizi biashara za mtandaoni kama niza ukweli au la.

Ninataka kufanya check ya kuagiza simu aina ya Google pixel 4a kwa delivery za mikoani kutoka kampuni yoyote lakini sina uzoefu na pia siji amini.

Naomba maoni yenu au ushauri wenu kwa wale wazoefu jamani mnipatie mwongozo.

Nipo IGUNGA~TABORA.

Ahsanteni sana
Pitia hapa Thread 'SOMO LA BURE: Namna ya kuagiza bidhaa kutoka CHINA kwa ajili ya biashara (jumla) Kupitia Mtandao alibaba kwa kutumia simu yako' SOMO LA BURE: Namna ya kuagiza bidhaa kutoka CHINA kwa ajili ya biashara (jumla) Kupitia Mtandao alibaba kwa kutumia simu yako
 
Back
Top Bottom