Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
- Thread starter
-
- #21
Huu uzi akiuona Kiduku Lilo atakuja na magari yake CMC,Benz, BMW huyu mwamba hua ananichekesha sana! Anyway nimechomekea tu,kuna mdau hapo juu,kaeleza safi sana kuhusu hizi Toyota IST! NCP 60,NCP 61 na NCP 65
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha ha ha ha ha sijui amemaanishaje?! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sina gani ndio nini?
Kwaio ununue gari ya 12m+ halafu uongope kuweka bearing hata kama ni 200,000+?SBT/Beforward wote ni wazuri tu cha msingi unapochagua uwe makini waweza tumia zile filter ukachagua zenye 2WD only pia jitahidi kuangalia zenye km chache huwa naona ni bora zaidi
Metallic au white nadhani ndiyo nzuri mkuu
Naongeza kama anataka kujua IST ni 4WD au 2WD kwa picha tu mtandaoni aangalie bomba ya moshi ikiwa kushoto nyuma basi 4WD ikiwa kulia 2WDNCP65 yenye 4WD achana nayo kabisa inasumbua,na pia unaponunua kama ni beforward kuwa makini kwani kuna gari hawasema kama ni 4WD au 2WD unanunua unakuta chuma kimefika ni 4WD
Naongeza kama anataka kujua IST ni 4WD au 2WD kwa picha tu mtandaoni aangalie bomba ya moshi ikiwa kushoto nyuma basi 4WD ikiwa kulia 2WD
asant mkuu nilokua cjui hii kituUnaposema old model hizo zote zitakuwa na features sawa isipokuwa kunakuwa na utofauti kidogo kutokana na gari ilikuwa inatumiwa hivyo kuna vitu huenda mtumiaji ameongeza.
Kiujumla kuna ist za aina tatu kutokana na code zake ncp60,ncp61 na ncp65.
NCP 60- Hii inakuwa na engine ya 2nz na 1290cc na nifront wheel drive.
NCP61-Hii inakuwa na engine ya 1nz na 1490cc na nifront wheel drive.
NCP65-Hii inakuwa na engine ya 1nz na 1490cc na ni 4wd.
Sasa hapo uzuri wa ipi ununue itategemea na matumizi yako
Mbona mm bomba lpo kulia na bado gar ina 4wd auNaongeza kama anataka kujua IST ni 4WD au 2WD kwa picha tu mtandaoni aangalie bomba ya moshi ikiwa kushoto nyuma basi 4WD ikiwa kulia 2WD
Mbona mm bomba lpo kulia na bado gar ina 4wd au View attachment 2100625
Naongeza kama anataka kujua IST ni 4WD au 2WD kwa picha tu mtandaoni aangalie bomba ya moshi ikiwa kushoto nyuma basi 4WD ikiwa kulia 2WD
Hii new model sio old modelMbona mm bomba lpo kulia na bado gar ina 4wd au View attachment 2100625
Kwa IST old model bomba ikikaa kushoto basi gari ina 4WD ila hzi new model sijui sina uzoefu nazo sijawah zigusaView attachment 2100750
Bomba Moshi inakaa wapi hapo ndio changamoto kushoto au kulia
NCP65 yenye 4WD achana nayo kabisa inasumbua,na pia unaponunua kama ni beforward kuwa makini kwani kuna gari hawasema kama ni 4WD au 2WD unanunua unakuta chuma kimefika ni 4WD