Naomba ushauri, nataka kuanza kuanza biashara ya maji ya kunywa

Naomba ushauri, nataka kuanza kuanza biashara ya maji ya kunywa

kinsakina

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2016
Posts
1,107
Reaction score
1,080
Wadau nimenunua mitambo ya kuanza kuzalisha maji ya kunywa (used), nimepanga kuanza kutengeneza maji ya kunywa na kuyauza.

Nahitaji wadau wabobezi wanishauri hatua za kuanza biashara hii, pia kwa kwa walioko Dar es Saalam nauliza wapi wanauza chupa za kuwekea maji kwa anaye jua anijuze. Nilienda tbs wakaniambiea ili uje tbs lazima uwe na mtaji wa milioni 100, nikaambiwa nienda SIDO nikapewe utaratibu.

Naomba ushauri wadau.
 
Hongera sana mdau kwa kupata wazo hili napenda sana mawazo kama ya kwako nakutakia kila la kheri ushauri wangu ni kwamba mambo ya uzalishaji wa chakula yana taratibu zake hivyo basi kuepuka kuingia gharama sizizokuwa za lazima fuatilia utaratibu mzima kabla hujaanza kuimplement then kuhusu chupa naona wazalishaji wengi wananunua zile preforms wanakuja wanategeneza wenyewe chupa kulingana na muundo wa chupa anayoitaka wengi naona wanachukulia Kenya hizo preforms. All the best.
 
Wadau nimenunua mitambo ya kuanza kuzalisha maji ya kunywa (used),nimepanga kuanza kutengeneza maji ya kunywa na kuyauza.nahitaji wadau wabobezi wanishauri hatua za kuanza biashara hii,pia kwa kwa walioko dar es saalam nauliza wapi wanauza chupa za kuwekea maji kwa anaye jua anijuze .Nilienda tbs wakaniambiea ili uje tbs lazima uwe na mtaji wa milioni 100,nikaambiwa nienda sido nikapewe utaratibu,naomba ushauri wadau
Omar packaging ana deal na hizo water bottle na kuhusu wataalam unaweza kwenda chuo cha maji ubungo pale utapata mwongozo.
 
Chakufanya nenda katengeneze packaging, hapa unaweza kuwaona omar packaging wapo maeneo ya vingunguti au kiwanda kingine kipo kibaha;

Wakati huo huo peleka maji yako ambayo ni purified ,peleka maabara water test pale chuo cha maji wacheki minerals na ph , maji mazuri kama ph itasoma 7.0 , pia lazima uwe na chanzo cha maji cha uwakika kama ni kisima, etc

Pia angalie eneo la kujikita kama mitambo yako ni midogo angalia eneo ambalo unao uwezo wa kusambaza usitake kusambaza Tanzania nzima utashindwa biashara, so tafuta niche yako then come with intelligent marketing

Mfano ukienda Kigoma kuna maji yanaitwa Tanganyika, niche yake ni kigoma tu na anauza kweli kweli.

Ukiitaji huduma ya kuchimbiwa visima vya maji karibu sana. (declare interest)
 
Chakufanya nenda katengeneze packaging, hapa unaweza kuwaona omar packaging wapo maeneo ya vingunguti au kiwanda kingine kipo kibaha;

Wakati huo huo peleka maji yako ambayo ni purified ,peleka maabara water test pale chuo cha maji wacheki minerals na ph , maji mazuri kama ph itasoma 7.0 , pia lazima uwe na chanzo cha maji cha uwakika kama ni kisima, etc

Pia angalie eneo la kujikita kama mitambo yako ni midogo angalia eneo ambalo unao uwezo wa kusambaza usitake kusambaza Tanzania nzima utashindwa biashara, so tafuta niche yako then come with intelligent marketing

Mfano ukienda Kigoma kuna maji yanaitwa Tanganyika, niche yake ni kigoma tu na anauza kweli kweli.

Ukiitaji huduma ya kuchimbiwa visima vya maji karibu sana. (declare interest)
Vizuri sana, nimekupata mkuu
 
Chakufanya nenda katengeneze packaging, hapa unaweza kuwaona omar packaging wapo maeneo ya vingunguti au kiwanda kingine kipo kibaha;

Wakati huo huo peleka maji yako ambayo ni purified ,peleka maabara water test pale chuo cha maji wacheki minerals na ph , maji mazuri kama ph itasoma 7.0 , pia lazima uwe na chanzo cha maji cha uwakika kama ni kisima, etc

Pia angalie eneo la kujikita kama mitambo yako ni midogo angalia eneo ambalo unao uwezo wa kusambaza usitake kusambaza Tanzania nzima utashindwa biashara, so tafuta niche yako then come with intelligent marketing

Mfano ukienda Kigoma kuna maji yanaitwa Tanganyika, niche yake ni kigoma tu na anauza kweli kweli.

Ukiitaji huduma ya kuchimbiwa visima vya maji karibu sana. (declare interest)
Mkuu umeiweka vizuri sana hongera kwa hilo hivi katika kuchimba kisima nawezaje kujua kama nikichimba kisima napata maji ya chumvi kidogo au chumvi nyingi?
 
Mkuu umeiweka vizuri sana hongera kwa hilo hivi katika kuchimba kisima nawezaje kujua kama nikichimba kisima napata maji ya chumvi kidogo au chumvi nyingi?
Kwa uelewa wangu mdogo.

Unaweza chimba visima viwili vilivyokaribiana kimoja kiwe na maji ya chumvi na kingine kisiwe nacho.Nature ya miamba huko chini inatofautiana sana.Njia ya lazima kabla ya kuanza kutumia maji yakoni kupeleka sample maabara kwa ajili ya kuyapima.(vijidudu, kiwango cha chumvi na madini mengine)

Maji unaweza test yasiwe na ladha ya chumvi lakini yasifae kwa matumizi ya binadamu kulingana na viwango vya shirika la afya duniani.

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Kwa uelewa wangu mdogo..
Unaweza chimba visima viwili vilivyokaribiana kimoja kiwe na maji ya chumvi na kingine kisiwe nacho.Nature ya miamba huko chini inatofautiana sana.Njia ya lazima kabla ya kuanza kutumia maji yakoni kupeleka sample maabara kwa ajili ya kuyapima.(vijidudu, kiwango cha chumvi na madini mengine).
Maji unaweza test yasiwe na ladha ya chumvi lakini yasifae kwa matumizi ya binadamu kulingana na viwango vya shirika la afya duniani.

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Ahsante kwa ufafanuzi pia.
 
Chakufanya nenda katengeneze packaging, hapa unaweza kuwaona omar packaging wapo maeneo ya vingunguti au kiwanda kingine kipo kibaha;

Wakati huo huo peleka maji yako ambayo ni purified ,peleka maabara water test pale chuo cha maji wacheki minerals na ph , maji mazuri kama ph itasoma 7.0 , pia lazima uwe na chanzo cha maji cha uwakika kama ni kisima, etc

Pia angalie eneo la kujikita kama mitambo yako ni midogo angalia eneo ambalo unao uwezo wa kusambaza usitake kusambaza Tanzania nzima utashindwa biashara, so tafuta niche yako then come with intelligent marketing

Mfano ukienda Kigoma kuna maji yanaitwa Tanganyika, niche yake ni kigoma tu na anauza kweli kweli.

Ukiitaji huduma ya kuchimbiwa visima vya maji karibu sana. (declare interest)
Naomba mawasliano ya hawa omar package mkuuu
 
Wadau nimenunua mitambo ya kuanza kuzalisha maji ya kunywa (used), nimepanga kuanza kutengeneza maji ya kunywa na kuyauza.

Nahitaji wadau wabobezi wanishauri hatua za kuanza biashara hii, pia kwa kwa walioko Dar es Saalam nauliza wapi wanauza chupa za kuwekea maji kwa anaye jua anijuze. Nilienda tbs wakaniambiea ili uje tbs lazima uwe na mtaji wa milioni 100, nikaambiwa nienda SIDO nikapewe utaratibu.

Naomba ushauri wadau.
Kwa dawa za kusafishia mitambo na ku operate pia nipo tayari nafanya water testing, water treatment waste water managemnet.
Nicheki tufanye biashara mkuu.
 
Back
Top Bottom